Recent content by fogo_255

  1. F

    KERO Ni malezi mabaya mzazi kumzuia mtoto kumpisha seat mtu mzima kwenye daladala kisa kamlipia nauli

    TABIA NA MAKUZI Kuna hii tabia ambayo sio nzuri kwenye daladala. Kuna hawa wadada wakiingia na watoto wao wadogo wanataka kupishwa kwenye seat ila siku wakiwa na pesa za kuwalipia hao watoto wao seat hawataki hawa watoto wawapishe watu wazima waliosimama kisa tu wamelipa pesa. Hii kwangu...
  2. F

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Naombeni likes zenu 🙏🥹
  3. F

    Watu wanapitia manyanyaso kwenye ajira

    Kuna mda mitihani inayokuja kwenye maisha yako lazma uitumie vizur
Back
Top Bottom