Recent content by focusliving

  1. focusliving

    Mapinduzi ya Niger: Bunge la Seneti laikataa hatua ya kijeshi, laionya ECOWAS na rais Tinubu

    Acha kuongelea ushabiki wew kimsing kinachotokea west africa n mapinduz ya haki,lazima waafrica tuungane vijana wadogo wanafanya ukomboz
  2. focusliving

    Baadhi ya Brigades za Ukraine hazijulikani zilipo

    Mbona haimalizi sasa kama kaitawala
  3. focusliving

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Kwani umoja wa mataifa si unaundwa na wanachama na hiyo russia n mwanachama wa umoja w mataifa kwanin isingepinga kuidhinishwa kwa uvamiz
  4. focusliving

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Sasa kama silaha zinachomwa mbona vita aiishi mkuu,swala la propaganda lipo pande zote hata russia nao sio wakuwaamin sana
  5. focusliving

    Kiongozi wa Wagner akiri kupoteza wapiganaji 22,000 Bakhmut pekee yake

    Mbona ussr ilioshinda german during ww2,lakin ussr ndo ilipoteza wapiganaji wengi zaid kwahyo inawezekana
  6. focusliving

    Pale dunia inapofumbwa kwa yale yanotokea nchini Sudan

    Asante sana ndugu nimekupata vizur
  7. focusliving

    Pale dunia inapofumbwa kwa yale yanotokea nchini Sudan

    Hapana jamaa kaeleza vizur sana kwanza kazungumzia internal facts alafu akaja ushawishi wa nje ambao umechochea vurugu piya,kimsingi vurugu zote zinazotokea nchi nyingi dunian kuanzia arabun mpaka africa yanakua n matokeo ya makabiliano y madola makubwa
  8. focusliving

    Pale dunia inapofumbwa kwa yale yanotokea nchini Sudan

    Ndugu samahan naomba uweke sawa jambo moja,wakat w mapinduz ya sudani n jesh l selikali ndo lilifanya mapinduz au hawa rfs,au wote waliunga mkono mapinduz piya naomba unisaidie kuna ile selikali ya kiraia iliumdwa baada y mapinduzi lakin haikudumu ikapinduliwa nawasilisha mkuu
  9. focusliving

    U.S.A. yaanzisha harakati za kuipindua Serikali ya Sudan miezi miwili tu baada ya Sudan kufikia makubaliano na Urusi kuanzisha kituo cha kijeshi

    Rekebisha kwanz hapa mkuu kongo aijawahi kuwa n rais wa kuitwa lumumba labda useme mzalendo wa kweli wa congo ambae alouwawa akiwa pm
  10. focusliving

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Samahan mkuu naomba unijuze kitu inamaana mwaka 2000 ukraine aikuwa chin ya rais mwenye kufuata amri za moscow..?
  11. focusliving

    Vita vya miaka 10 vyaua watu wapatao 400,000 Syria

    Vita vya syria n vita mbaya sana ambayo wananchi w syria wamepitia yakichochewa zaid na mataifa ya magharibi as wel as ilivyokuwa libya kuna kila sababu ya mataifa mengine kujifunza kitu n kosa kubwa sana kuruhusu madola makubwa kupimana nguvu katika ardhi ya nchi zenye maslahi kupitia kigezo...
  12. focusliving

    Umeona nini kwenye maziko ya yule tajiri wa Kibaniani, Patel tokea mwanzo hadi mwisho?

    Acha umbea mungu katuepusha na korona wakala wa shetan unamiemko ya kisiasa wew
Back
Top Bottom