Recent content by FlyingDutchman

  1. FlyingDutchman

    Watekaji na wauwaji wa kikatili wa watanganyika siku ya maandamo na baada,weakness Yao ilikua ni ipi?

    Mkuu naomba tuwape elimu ndugu zangu juu ya mambo haya! Mawazo yako ni yapi kuhusu kuzuia spree shooting ( shambulizi la risasi za moto la muda mfupi lisilo na mpangilio)? Je watu watawezaje kukabiliana na hili jambo!
  2. FlyingDutchman

    Watekaji na wauwaji wa kikatili wa watanganyika siku ya maandamo na baada,weakness Yao ilikua ni ipi?

    Hii taarifa kama ni kweli basi tupo katika stage mbaya sana ya nne ya shambulizi la kisaikolojia wengine hupenda kuuita devide and conquer! Mambo haya nimeyaeleza katika andiko langu la Mbinu ya kisaikolojia iliyotumika kuwauwa ndugu zetu watanganyika kikatili kama wanyama Kukitokea mpasuko...
  3. FlyingDutchman

    Mbinu ya kisaikolojia iliyotumika kuwauwa ndugu zetu watanganyika kikatili kama wanyama

    Kama jambo hili ni kweli, damu ya ndugu zetu itawaandama. Lakiñi pesa hizo chanzo chake ni kipi? Chanzo Cha pesa hizo ndiye adui yetu!
  4. FlyingDutchman

    Mbinu ya kisaikolojia iliyotumika kuwauwa ndugu zetu watanganyika kikatili kama wanyama

    Bado inatafakarisha sana! Lakini naomba elimu hii muisambaze , wauaji wakianza kutembea kwa mguu ni rahisi sana kuwakabili .
  5. FlyingDutchman

    Watekaji na wauwaji wa kikatili wa watanganyika siku ya maandamo na baada,weakness Yao ilikua ni ipi?

    Bewere sihamasishi watu kufunga barabara lakini 1. Kawaida nguvu zao kubwa ni pia udhaifu wao Uwezo wa haraka na kusogea: wanatumia magari na silaha za moto, hivyo wanaweza kushambulia haraka. Udhaifu wa uangalizi wa umma: wanategemea kujificha na kudanganya raia (mfano: askari “wa kirafiki”...
  6. FlyingDutchman

    Mbinu ya kisaikolojia iliyotumika kuwauwa ndugu zetu watanganyika kikatili kama wanyama

    Wauaji walitawala na kuteka barabara ,, walitumia gari kama usafiri barabara ilikua advantage kwao! Kama wataandama watanzania mtakaobaki majumbani , kama watu wasiojulikana wataanza kupiga risasi kiholela ,mjue barabara ndio weakness Yao ya kwanza. Sijui mtaitumiaje hiyo weakness kama...
  7. FlyingDutchman

    Mbinu ya kisaikolojia iliyotumika kuwauwa ndugu zetu watanganyika kikatili kama wanyama

    Sawa MUNGU ni wetu sote , sauti yangu sio ya unabii lakini baada ya maisha haya tutaulizwa mbele ya haki , ichunge sana nafsi yako sababu hakuna kitu permeant hata uhai ulionao Unafanya mocking wakati najaribu kushauri watu wafanye Nini next time wakiwa under attack? Hata watoto wadogo...
  8. FlyingDutchman

    Mbinu ya kisaikolojia iliyotumika kuwauwa ndugu zetu watanganyika kikatili kama wanyama

    Mbinu hii inaitwa " Ishara ya Usalama ya Uongo" in English "false peace signal" Nisameh sana ndugu britanicca mnamo tarehe 26 ulitupa taarifa nyeti kuhusu askari 320 wenye order ya shoot to kill siku ya tarehe 29 , nakili tumekuangusha sana tungeokoa vifo vya watu wengi kama tungesambaza...
  9. FlyingDutchman

    Kuna ukweli wowote?

    Well said buddy. I will do my research on this one.
  10. FlyingDutchman

    Kuna ukweli wowote?

    Talk more about this please!
  11. FlyingDutchman

    Maandamano yajayo hatushoboki na JWTZ. Wao ndo wataamua watuue au waungane nasi

    How are you going to tackle internet shutdown?? They have guns how are you going to face them? What is it that you need to be changed? Detail every thing,else this will be a wretched bangle! All the best comrades.
  12. FlyingDutchman

    Hata mkoloni hakuondolewa kwa mtutu, bali Gen Z, Mbegu ya Ujasiri: Last Man Standing Kati ya Nyota za Mashahidi

    Baraka zako napokea🙏, japo moyoni Bado nina majonzi mazito! Nyama za moyo wangu Bado zatetema na kutoka jasho la damu. Nilizoea kuyasikia haya Mogadishu lakini Leo nimeyaona Tanzania Tena kwa kiini Cha macho yangu Nawakumbusha ndugu zangu "A lion can be born mighty, with fangs like promises...
  13. FlyingDutchman

    Hata mkoloni hakuondolewa kwa mtutu, bali Gen Z, Mbegu ya Ujasiri: Last Man Standing Kati ya Nyota za Mashahidi

    Itoshe kusema historia mpya imeandikwa nami nitawaenzi ndugu zangu kwa kuandika kitabu chenye hisia na mwanga kuwakumbuka toka moyoni. Amini tunaye MUNGU na kizazi chenye akili sana kuliko waliowaua ndugu zetu kama Hitler. Hatuta isha Bali tutaishi.
  14. FlyingDutchman

    Hata mkoloni hakuondolewa kwa mtutu, bali Gen Z, Mbegu ya Ujasiri: Last Man Standing Kati ya Nyota za Mashahidi

    Tulikua vitani, tukipigania uhuru kwa amani. Rafiki zangu waliuawa kikatili na askari. Mikononi mwao hawakubeba hata jiwe la kupigania, lakini walipigwa risasi viunoni, vifuani, na hata kichwani, ili kututisha, ili kutunyamazisha, ili kutuvunja moyo. Walio tangulia nawaombea mbele ya MUNGU...
  15. FlyingDutchman

    DOKEZO Kinachoendelea Tanzania Institute of Accountancy (TIA) ni uozo unaonuka

    TIA hawajayaona yote haya instead wanetumia kigezo kimoja TU kufanana kwa mwandiko of which frankly speaking mwandiko wenyewe haufanani kabisa, no any forensic expert where hired vipo vigezo vingi sana na baadhi ya vigezo hivyo ni ivi vifuatavyo.
Back
Top Bottom