Recent content by Florian musumi

  1. Florian musumi

    Ikulu: Washtakiwa 467 wa Uhujumu Uchumi wapeleka maombi kwa DPP wakitaka kukiri makosa yao na kurejesha takribani Tsh. Bilioni 107

    Hongera J.p.m Kwa kwa Kutoa Msamaha, hakika Mungu akubariki sana na Kukuzidishia Uzima.
  2. Florian musumi

    Twiga kusafirishwa kwenda Chato ni uamuzi sahihi? Ndio...

    Nimeona jana tukio la wanyama kama Twiga wakisafirishwa na kupelekwa hifadhi mpya ya Burigi Ambayo inapatikana Mikoa Miwili Kagera Na Geita, wilaya Muleba, Biharamulo, chato, karagwe. #kwanza naipongeza serikali kutenga pori hili kuwa hifadhi ya Taifa.Kwa wasiofahamu pori hili linachukua eneo...
  3. Florian musumi

    Malawi: Waziri avunja nyumba ya mwananchi wake baada ya kushindwa Ubunge

    Waziri wa zamani na Mbunge wa jimbo la Blantyre Kaskazini Mashariki mwa Malawi, Cecilia Chazama amevunja nyumba aliyokuwa amemjengea mama mmoja maskini kwenye jimbo lake baada ya mama huyo kushangilia Cecilia alipoangushwa kwenye nafasi yake ya ubunge.
  4. Florian musumi

    Rais Magufuli akubalika duniani kote

    RAIS Magufuli kushangiliwa kwa Nguvu Afrika kusini Ina Maana gani kwa Wapinzani wake?? Marais wengi wameenda kushuhudia kuapishwa kwa Rais wa Afrika Kusini 25 May 2019 , lakini mara baada ya jina la Rais wa Tanzania John Magufuli kutajwa kwamba anaingia uwanjani ,Raia wa Afrika kusini...
  5. Florian musumi

    Kongamano: Mwanza ya kijani

    Hakika Mkoa wa Mwanza umejihakikishia kushinda uchaguzi wa serikali za Mtaa pamoja na uchaguzi Mkuu 2020. Hii ni kutokana Na Hamasa iliyojengeka kwa vijana kwa kukubali Mambo mazuri yanayofanywa na Rais John Magufuli. Hakika CCM Mwanza USHINDI NI SAA MBILI ASUBUHI. HONGERA VIONGOZI WA UVCCM...
  6. Florian musumi

    USHAURI, Lissu asigombee urais Hawezi kushinda!

    USHAURI KWA VYAMA VYA UPINZANI KUELEKEA 2020 NAFASI YA UBUNGE NA URAIS!! Road To 2020. Florian Musumi. Mwanza. 1. Mgombea Urais. Kwa hali inavyoendelea Sasa Karata pekee kwa vyama vya upinzani ni Tundu Antipas lissu, wanaharakati na wanachama wa vyama vya upinzani Walio wengi wamekuwa...
Back
Top Bottom