Recent content by FLORA KIBONA

  1. FLORA KIBONA

    NAFAKA

    0762020980
  2. FLORA KIBONA

    Karibu muagize nafaka

    Unahitaji Tan ngapi
  3. FLORA KIBONA

    Karibu muagize nafaka

    Dihaa za biashara leo mkuu hii ilikuwa kwa wale wanaohitaji na kwakuwa dunia imegeuka si lazima uniamini mimi ASANTE
  4. FLORA KIBONA

    Karibu muagize nafaka

    Sikuwa na account before
  5. FLORA KIBONA

    Karibu muagize nafaka

    Mimi sio dalali
  6. FLORA KIBONA

    Karibu muagize nafaka

    Hello wana Jf kwa wafanyabiashara wa biashara ya mchele hasa wale ambao bado mna mitaji midogo haina haja ya kutumia gharama ya kusafiri mpaka Mbeya Karibu uagize mzigo unaohitaji kutoka kwetu nipo mashine za mpunga wilayani Mbarali Na hata kama unahitaji kuanzisha biashara hii ya mchele kwa...
  7. FLORA KIBONA

    NAFAKA

    Hello wana Jf kwa wafanyabiashara wa biashara ya mchele hasa wale ambao bado mna mitaji midogo haina haja ya kutumia ghalama ya kusafiri mpaka mbeya Karibu uagize mzigo unaohitaji kutoka kwetu nipo mashine za mpunga wilayani Mbarali Na hata kama unahitaji kuanzisha biashara hii ya mchele kwa...
  8. FLORA KIBONA

    Kwa mtaji wa 2.5M Dodoma naweza nikafanya biashara gani?

    Fanya biashara ya Nafaka uza mchele sio lazima uwe na frem unaweza ukachukua gunia zako kumi ukaweka ndani na ukatembeza sampo kwenye migahawa na mtaji ukiongezeka unatafuta frem. Pia unauza online naamini utapata wateja nafaka zinatoka sana dodoma, ukihitaji mchele wa mbeya njoo inbox
  9. FLORA KIBONA

    Ushauri: Nataka kuanzisha biashara ya Nafaka au Vipodozi

    Mimi nipo mkoa wa mbeya, wilaya ya mbarali ninakushauri Anza na biashara ya mchele kwa mtaji ulionao kidogo kidogo mtaji utakua.. naweza kukusaidia kupata mzigo bila hata wewe kutumia ghalama ya kufika huku
Back
Top Bottom