Hello wana Jf kwa wafanyabiashara wa biashara ya mchele hasa wale ambao bado mna mitaji midogo haina haja ya kutumia gharama ya kusafiri mpaka Mbeya
Karibu uagize mzigo unaohitaji kutoka kwetu nipo mashine za mpunga wilayani Mbarali
Na hata kama unahitaji kuanzisha biashara hii ya mchele kwa...
Hello wana Jf kwa wafanyabiashara wa biashara ya mchele hasa wale ambao bado mna mitaji midogo haina haja ya kutumia ghalama ya kusafiri mpaka mbeya Karibu uagize mzigo unaohitaji kutoka kwetu nipo mashine za mpunga wilayani Mbarali
Na hata kama unahitaji kuanzisha biashara hii ya mchele kwa...
Fanya biashara ya Nafaka uza mchele sio lazima uwe na frem unaweza ukachukua gunia zako kumi ukaweka ndani na ukatembeza sampo kwenye migahawa na mtaji ukiongezeka unatafuta frem. Pia unauza online naamini utapata wateja nafaka zinatoka sana dodoma, ukihitaji mchele wa mbeya njoo inbox
Mimi nipo mkoa wa mbeya, wilaya ya mbarali ninakushauri Anza na biashara ya mchele kwa mtaji ulionao kidogo kidogo mtaji utakua.. naweza kukusaidia kupata mzigo bila hata wewe kutumia ghalama ya kufika huku
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.