Kutopatikana kwa ufumbuzi wa akina nani ni "Watu wasiojulikana" ni kithibitisho tosha kwamba "Kitengo" kimebinafsishwa na MTU ama kikundi cha watu wenye maslahi yao binafsi. Bashite na Baba yake ndio watu watakaosaidia tupate katiba mpya mapema, tena katiba tunayoitaka sisi wananchi...
Serikali ya Tanzania inaenda hovyo hovyo.Kodi ya wananchi inatumika bila utaratibu kwa kujenga uwanja wa ndege wa chato nje ya bajeti iliyojadikiwa na Bunge.
Maandamano haramu ni ya aina gani mkuu? na Maandamano halali ni ya namna gani?
Nimeona ujumbe wako ulijikita katika Udikteta lakini Chahali yeye amezungumzia yale yanayoendelea katika jamii yetu kwa sasa hasa katika shughuli za kisiasa, Usalama wa raia na Uhuru wa kutoa maoni.
Niulize pia...
Kwanza nikiri kwa kusema kuwa sijasikia wala kuona wala kusoma mahala popote kuwa CCM au Upinzani umejipanga kwa ajili ya maandamano yoyote, mpaka hapo nadhani ulikurupuka kuanzisha uzi.....ila ngoja niendelee kujibu ulichoandika kwa sababu kusema, kuandamana na kuamini ni haki yako kikatiba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.