Recent content by Flashfifty

  1. Flashfifty

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

    Kumekuchaaa [emoji1787][emoji1787]
  2. Flashfifty

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Haya ndio makabila magumu kwenye ndoa (based on maoni ya wadau)

    Kwa kweli ni bahati sijawah kubahatika kuwaelewaga in my entire life so kwa namna moja au ingine Mungu alijua akaniwekaga mbali nao maana alijua nitaishangaza dunia So from experience za watu wengine waliowahi kuwa nao kwa kweli ni watu ambao siwez kuwaruhusu hata kukisogelea kizazi changu na...
  3. Flashfifty

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Haya ndio makabila magumu kwenye ndoa (based on maoni ya wadau)

    Ningeyakanyaga ningehakikisha huyo muhaya wanaandika historia yangu yeye na kabila lake wote angekula tukio moja ya kijajusi aisee ningeishia jela nina uhakika huo kwa hii roho ya kichaga nilo nayo aisee nadhan wangeacha laana kwa wachaga wote Inshort kwa matukio ambayo baadhi ya watu wa karibu...
  4. Flashfifty

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Haya ndio makabila magumu kwenye ndoa (based on maoni ya wadau)

    Aiseee wote wote wawe wanawake au wanaume ptyuuuu yan ntaachaa na laana kwa kizazi changu wasijaribu hili kabila
  5. Flashfifty

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Haya ndio makabila magumu kwenye ndoa (based on maoni ya wadau)

    Hapana aisee namba moja hapo wanaanza WAHAYA mptyuuuuuuu mbakaaa[emoji28]
  6. Flashfifty

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake hawapendi ndoa

    Vayolensi[emoji28]
  7. Flashfifty

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Dhana ya Katerero

  8. Flashfifty

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Dhana ya Katerero

    Mwenye picha jaman
  9. Flashfifty

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ambao ndoa zenu zilivunjika mliwezaje kuendelea na maisha mengine?

    Ukiwa umechoka hata kama unampenda mbona ni rahisi sana ku move on,maana kuna kuwa fedup ila bado unampenda so inabid muachane tu
  10. Flashfifty

    JamiiForums Tanzania Msaada:Maumivu ya upande wa kushoto wa kifua

    Jaman naomba kujua hii inatibika vipi jaman msaada maana inanitesa mnoo msaada tafazal kama kuna anaefahamu matibabu yake
  11. Flashfifty

    JamiiForums Tanzania Nina tatizo la kutapika nyongo mara kwa mara

    Ni anti acid tu na nmeshatumia nyingi mara lasoprazole kuna pantoprazole kwa kweli ni nyingi
  12. Flashfifty

    JamiiForums Tanzania Nina tatizo la kutapika nyongo mara kwa mara

    Aisee sijapona sasa hvi naona kama ni sehemu ya maisha yangu maana kila mwez lazima nitoe hiyo nyongo aisee ila nikishaitapika nakua mzima kabisa bado sielew exactly tatizo ni nn maana vipimo ni vingi nmefanya na hakuna tatizo linaloonekana mara naambiwa hormonal imbalances mara naambiwa mwili...
  13. Flashfifty

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nachanganyikiwa na Wanawake hawa, Nakuwa kama Zoba

    [emoji1787][emoji1787]kazi ipo
  14. Flashfifty

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke wangu ananilazimisha nimcheat...

    Hapo ushakula tukio sasa anataka kujua kama na yeye anapigwaga matukio..#mbwakalambwa[emoji28]
  15. Flashfifty

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, kurudiana na Mwanamke mliyeachana nae miaka 13 ni vyema au ni Hatari?

    Ni hatari mnoooo kuliko kubeba bangi walah [emoji28]si shauri na siwez kumshauri mtu kurudiana na mtu walioachana muda mrefu hvo nooo its not healthy
Back
Top Bottom