Ni anafanya trial ndo wamsajili,maana As Vita ishafanya usajili wa wachezaji kadhaa toka Mauritania na kam watatu hivi toka West Africa. Tshishimbi ni kama wanamcheki fitness yake.
Japo mimi si mwenyeji wa Mara ila nilishaishi huko na nimefurahi kwa Biashara kubaki ligi kuu na nina mpango wa kuagiza ile jezi yao mpya nyeupe imesimama kishenzi, natafuta logistics za namna ya kuipata ile jezi nadhani ndo jezi nzuri kwa timu za ligi kuu kwa sasa hasa baada ya udhamini mpya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.