Recent content by fisi 2

  1. F

    Je, tukisema Ole Sendeka anamfahamu aliyemshambulia tutakuwa tunakosea?

    Nilisema tunaomjua hiyo ni muvi kutengeneza apate huruma ya watu wa chini wa Simanjiro wasio elewa.
  2. F

    Mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka ashambuliwa kwa risasi na Watu wasiojulikana

    Kwa tunaomjua Sendeka nawaambia hivi - Hii ni movie kajitengenezea ili kup[ata huruma baada ya kuona hana tena nafasi ya kuwa mbunge. Vijana wanamkimbiza balaa. Sio mara ya kwanza kuanzisha matukio. Alifanya hivyo Lobosireti 2020 akawaambia vijana wapigane ili wasiumizane sana ili ionekane...
  3. F

    Saa ya Rais Samia yadaiwa kuwa na thamani ya Tsh. Milioni 111,601,22/=

    MaCHADEMA ndio unyumbu huo. Kwani hana haki kuvaa vitu vizuri?! Akili za hovyo kabisa. Rais anapewa zawadi na watu wengi ikiwemo familia yake akatae?! MaCHADEMA mmezoea uzinzi na wizi hamna akili. Kazurureni Barabarani
  4. F

    Nimeamua kuwa na Mchepuko. Mke Haeleweki, mawasiliano kila siku na wakwe, mashemeji, mawifi, wa X- Wake

    Huo ni ubovu wa ndoa za kikrisro. Mwanamke anakua na kiburi na dharau akijua hamna kuachwa. WRONG. Nakuunga mkono kwa uamuzi huo. Muweke wazi mchepuko wako kama mke mdogo. Mtambulishe kwa Ndugu ikiwemo ndugu zake. Mkeo mpe uhuru aishi anavyotaka. Nimetoa ushauri huu mara 2 na umefanya kazi...
  5. F

    Prof. Janabi: Nakula mara mbili kwa siku

    Hata mapadre husema msizini lakini wao wanaongoza kwa vimada na mahawara mitaani. Janabi ni muongo ukitazama balanced diet haiko anavyoshauri. Halafu kiukweli kwa afya yake anaonekana tu ana kansa au ukimwi. Zaidi ya kukaa ofisini hana anachoweza mfano kumridhisha mke kwa kula tango na maji...
  6. F

    Rais Samia amjibu Mbowe kwamba umaarufu wa Lowasa uliibeba CHADEMA

    MACHADEMA hayakufika hata kumjulia hali akiwa mgonjwa halafu leo yanalialia na kuharisha eti historia. Kaandike historia na Joisi Mkiaaa . Bumunda la zege.
  7. F

    Hongera Chadema kuwa wapangaji nyumbani kwa Mbowe Mikocheni

    Nyumbu wapangaji uani kwa Juice Mkiaaa. Mama mdogo. Shame on MACHADEMA
  8. F

    Watanzania Waipuuze Chadema, Msajili aifungie Chadema kwa kuleta vurugu

    MACHADEMA yana hasira kama mafisi. Matusi tuuuuu. Hayana hoja wala mawazo. Haya kaandamaneni tuone mtachopata. Nyumbu wasio na mikia.
  9. F

    DC Moshi awatolea uvivu Kilimanjaro Express, acheni wizi

    Wapumbavu kabisa kufungia Basi anaumia abiria bora upige faini tuuu
  10. F

    Wafanyakazi wa kampuni ya mabasi ya KILIMANJARO wakamatwa Moshi, walishindwa kuwatafutia abiria usafiri mbadala na kujificha

    Hakuna kampuni inayoikuta Kilimanjaro Tanzania hii hakuna. Mengine ni wivu wa kisukuma tuuu
  11. F

    Car4Sale Nissan Jukes for sale

    Gari ya wanawake hiyooo.
  12. F

    Boss wangu amemtolea mahari mwanamke mwingine; naumia sana

    Hakuna mwanaume anaeacha mwanamke mzuri na wife material. Hakuna hakuna HAKUNAAA
Back
Top Bottom