Recent content by fisi 2

  1. F

    GE2025 CCM heshimuni kura za wajumbe Arumeru Magharibi

    Basi atarudio Masaki akiimbiwa sio kwa Arumeru Magharibi .
  2. F

    TANZIA GE2025 Job Ndugai, aliyewahi kuwa Spika wa Bunge afariki Dunia

    Apumzike kwa Amani mtumishi mwema. Salimia Ndugu Jiwe.
  3. F

    GE2025 CCM heshimuni kura za wajumbe Arumeru Magharibi

    Dr. Lukumayi ndie ameshinda kura za maoni kwa asilimia 61 (61%). Mgombea Noel Severe amepata 18% ila Severe anajinadi kuwa ndie atakaepitishwa hata kama ameshindwa kwa sababu yeye ndie anaetakiwa na Mh Rais na CCM Taifa. Tunajua Nguvu ya Chama kupata viongozi na tunaheshimu ila tunajua zaidi...
  4. F

    UBUNGE ARUMERU MAGHARIBI PAMEANZA KUCHANGAMKA

    Waraka mkali na kinyang'anyiro cha Ubunge Arumeru Magharibi warushwa kwenye makundi sogozi. Bado miezi michahe pakuche.
  5. F

    PreGE2025 Mama Samia amegundua kosa kubwa chaguzi za 2024

    Nyumbu endeleeni kujipiga dole mnuse. Mtachakaa mwaka huu
  6. F

    Maswali yaliyokosa majibu ndani ya malumbano ya hoja ITV leo 6/2/25

    Katika wajuaji pori na wajivuni wewe unaongoza. Kama unafahamu eleza kwa ufasaha watu wajue sio kukejeli. Haya wewe unajua inakusaidia nini. Hovyo kabisa.
  7. F

    DOKEZO Kituo cha Polisi USA River kinabambikia watu kesi

    Nimeona clip Mkuu wa Mkoa Arusha anasema kuna mwananchi kanunua nyumba kashindwa kukabidhiwa nyumba aliyolipa asilimia 70 na kapewa kesi yaani ujambazi wa kutumia silaha na kituo cha polisi Usa River Arusha. Nathibitisha baada ya ufuatiliaji wa miezi minne (4 ) Kituo cha Polisi Usa River...
  8. F

    Kwanini Mbowe aliahirisha ghafla safari ya kwenda Dar na siku hiyohiyo Lissu akapigwa risasi?

    Lissu alitengeza mwenyewe hiyo drama. Anawajua waliompiga risasi ni watu wake. Amlete dereva basi aumbuke.
  9. F

    "Amevunja kanuni na utaratibu wa chama,hatufai!kamati kuu imeridhia hatoteuliwa kuwa mtia Nia wa urais"!

    mleta mada tafuta bangi tu uvute.CCM ni levo nyingine kabisa.
  10. F

    Kwanini Rais Samia kakwepa Hoja za Wafanyakazi na kamtuma Makamu wa Rais wakati Rais wa Zanzibar yeye amevunja ziara kwa ajili ya Mei Mosi?

    Yaani akili ya hovyo sana hii. Hujui delegating maana yake nini. nyumbu wa hedi. Hyaunastahili kuongezewa mshahara kwa kipi unachozalisha. Yaani kwa mwezi unazalisha shilingi ngapi kukupa haki ya kuongezewa mshahara. Nyumbu nusu kilo kabisa.
  11. F

    Je, tukisema Ole Sendeka anamfahamu aliyemshambulia tutakuwa tunakosea?

    Nilisema tunaomjua hiyo ni muvi kutengeneza apate huruma ya watu wa chini wa Simanjiro wasio elewa.
  12. F

    PreGE2025 Mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka ashambuliwa kwa risasi na Watu wasiojulikana

    Kwa tunaomjua Sendeka nawaambia hivi - Hii ni movie kajitengenezea ili kup[ata huruma baada ya kuona hana tena nafasi ya kuwa mbunge. Vijana wanamkimbiza balaa. Sio mara ya kwanza kuanzisha matukio. Alifanya hivyo Lobosireti 2020 akawaambia vijana wapigane ili wasiumizane sana ili ionekane...
Back
Top Bottom