Ni alama ya matibabu inatumiwa na taasisi zinazotoa huduma za Afya.Historia yake ilianzia huko Guinea watu walikua wanatumia kijiti Kumviringisha mnyoo(guinea worm) toka mwilini. Mtu alikua anatembea na kijiti ata mwezi mzima hadi pale mnyoo mzima atapokua ameviringishwa kwenye kijiti toka mwilini
Kipindi cha nyuma nikiwa shule nilikua na mazoea ya kwenda nyumba ya jirani kwa rafiki yangu.Mida ya usiku sa moja moja kama kawaida nimefika nikiwa najiuliza kugonga mlango akatoka binti anaishi pale tumezoeana kiasi.akanichekeachekea pale kaniita nikamfata nyuma ya nyumba kuna migomba na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.