Duuuuuuu, kaaazi kweli kweli, raisi hajui hata kuandika kimpangilio, eti NCCR ni chama komavu, labda unamaanisha ni chama dumavu, Deo nenda ukadumae na wewe na Mbatia wako huko CCM_C, hatimaye ule usemi wa MFA MAJI HAKOSI KUTAPATAPA umetimia kwako, umetapatapa na hatimaye unaelekea kufa, unakosa...