Halafu inaonesha humjui blackcoffee... eti ni mwanamuziki ndio maana kapewa tuzo... huyo jamaa ana nyimbo zake kabisa, anatunga na kutengeneza beat then anawapa waimbaji waimbe.. lakini nyimbo zinabaki kuwa zake
We mtoa comment naona una degree ya comedy.. eti coffee ni best DJ in the world hahaha unafurahisha, unaweza ukanipa ushahidi??? Kwa hiyo yeye ni bora kuliko David guetta, DJ Khaled nk? Haha duh!!!! Halafu ninaposema hajulikani sio kwamba hamna anayemjua.... mtu anayejulikana na mtu 1 kati ya...
Naona unaongea kwa ushabiki zaidi... diamond anajulikana Afrika nzima pitia Twitter na social media mbalimbali utaona waafrika kutoka nchi tofauti wakirequest aende kwao.... kiba tu anajulikana kimtindo sembuse diamond? Huyo black coffee hajulikani kokote kule hapa Afrika na unashangaza kusema...
Ok ok okay naona Best International Act Africa ameshatajwa toka jana, here are my thoughts on BET.
BET naona wameprove kuwa label za nje haziwezi kusimamia muziki wa Africa. Kwa mara ya pili mfululizo anashinda mtu asiyestahili, mwaka jana Stanbwoy wa Ghana aliwashinda Wizkid na Fally Ipupa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.