Recent content by Fimboyamusa

  1. Fimboyamusa

    Adam Malima: Ndoa ya CHADEMA na CUF ni ndoa ya kijakazi

    Nafikiri ndiye yule waziri wa ajabu aliyenogewa starehe hotelini morogoro akakombwa dola nyingi za kimarekani, pesa taslimu za kitanzania, laptop, bastola, simu 2 za mkononi (blackberry), ipad na vinginevyo lakini serikali ikamwacha bila kumwajibisha kwa hasara aliyoisababishia kutokana na...
  2. Fimboyamusa

    Kutoka ukumbi wa BoT Mwanza: Wassira atangaza nia kugombea Urais

    kadanganya historia huyu! mbona hajawaeleza watanzania kuwa alikushachepukia katika upinzani akawa kiongozi ktk nccr mageuzi. yaani pamoja na nyadhifa zote alizowahi kushika ktk ccm enzi hizo, kulitokea nini akawa mpinzani? je ilikuwaje tena yuko ccm sasa mbona haya yote hakuyasema maana ndiyo...
  3. Fimboyamusa

    CCM kumtosa, kumzawadia Lowassa Uwaziri Mkuu

    kutawala ni jambo jingine, na kuongoza ni jambo linguine. Mkoloni pia alitutawala hakutuongoza.
  4. Fimboyamusa

    Sitashiriki maandamano CHADEMA

    Kwani umeombwa?!!! Taifa limefika mahala hapa sababu ya wajinga wenye mtindio kama wakwako. siku hiyo ikifika we ingia uvunguni mwa kitanda chako ujifiche virungu mkeo atakusimulia akirudi nyumbani baada ya kudai 50x50
Back
Top Bottom