Musoma wana brain ya medani bhana, kuna Wakurya drs la 7 D kabisa wanarusha fighters na wameshinda medani (vita) nyingi ndani na nje ya jamhuri. Acha kabisa watu wanaokula samaki-maji-baridi brain power yao ni hatari.
Kwa wale waliokwepa mafunzo ya JKT kwa mujibu wa sheria.
JKT ni Divisheni ya JWTZ kama zilivyo Divisheni za Anga, Navy, Infantry, Commandos. Alama pekee ya kuwatofautisha ni beret. Infantry beret yao ni rangi ya kijani, Anga beret yao ni rangi ya bluu-mawingu, Navy beret yao ni rangi ya...
Nadhani ifike mahali tukubali kama taifa kuwa tulijikwaa pakubwa (tulikosea sana) kumuondoa Mhe. Dkt. Medard Kalemani MB toka kwenye Baraza la Mawaziri na Wizara ya Nishati.
Hali tuliyo nayo ya nishati ya umeme Tz ni wazi kuwa hatuwezi kuvutia uwekezaji mkubwa zaidi tu ya uwekezaji mdogo mdogo...
Kauli zandiki ya Dr. Boniface Luhende Wakili Mkuu wa Serikali WMS kumtaka rais atengeneze bajeti nyingine mpya ya ziada ya kuanzisha Kituo cha Pamoja cha Kutoa Haki (One Stop Center) kwa walioikosa sehemu stahiki zinazopaswa kutoa haki husika siyo kauli ya kipapa ambayo haiwezi kupingwa.
WMS...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.