Tanzania ni nchi ambayo kimsingi haijielewi imejikita katika uchumi upi kwani pamoja na kuwa UTI wa mgongo wa asilimia 90 ya watanzania wote ni kilimo Bado hakija pewa kipaumbele.
Taasisi ya Nishati imejiweka kando huku tukiwa na zaidi ya miaka 60 ya uhuru lakini source kuwa ya Nishati ni...
Mlipuko ni mitungi ya gesi inakipuka pale Taifa gesi nagari ya zimamito yanaelekea huko huku Tabesco wakiwa wamezina umeme Hadi muda huu
Tupo nje tu tunashangaa tujue hatma isije unarud ndan moto unaongezekana hapa kigamboni maeneo mengi gesi imepita chini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.