Pole sana jione wewe ni Kama wengine ni wathamani sana! Umeumbwa na Mungu! Mwanadamu ni WA thamani sana akiwa Katika Hali yeyote ile kwa kuwa alichokiumba Mungu ni safi! Kizuri! Na Cha thamani Kubwa! Mungu hakosei
Kwa kweli una tatizo kidogo la kisaikolojia linalokufanya ujihisi hauko sawa Kama unavyostahili, pili waweza kuwa na nyota ya mvuto, tatu waweza ukawa una mwonekano fulan ivi wa kuvutia wengi, ila kama hadi watoto wanakushangaa basi hio ni nyota ya mwonekano Kama nilivosema hapo juu, nne pengine...
Hio husababishwa na ulaji wa vyakula vyenye hamira kwa wingi au mara kwa mara, mfano mandazi,mkate n.k mabaki ya vyakula hivyo endapo yatabaki kinywani Zaid ya saa Moja hupelekea uzalishwaji wa bacteria ambao ndio husababishwa utando huo.hivyo ni Muhimu mara tu ulapo vyakula hivyo hata vingne...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.