Recent content by Fikra za mlalahoi

  1. F

    JamiiForums Tanzania Utunzaji wa nywele za asili

    Je nikitaka kapaka then nisuke inawezekana?
  2. F

    JamiiForums Tanzania Hii ndiyo Sheria ya Jamhuri inayompa RC nguvu ya kumuita mwananchi yeyote anayeishi mkoa wake!!

    Hahahaaa RC anatakiwa atoe maagizo kwa police wamwite mbowe lakini c vinginevyo?
  3. F

    JamiiForums Tanzania Spika Ndugai: Kama kuna ofisa anamuhitaji mbunge aniambie, hatuwezi kwenda kibabe

    Ameongea ukweli kwani nchi imefikia mahala ambapo kila MTU anajitengenezea sifa kwa cheo chaake ...hatuwezi kuendesha nchi kwa namna hii
  4. F

    JamiiForums Tanzania Bulaya: Makonda amenipigia simu na kudai wabunge sio chochote kwake, yupo karibu na bwana mkubwa

    kuna mengi sana tutayajua kwenye hii sinema, muda utaongea!
  5. F

    JamiiForums Tanzania Magari, pikipiki yang'olewa matairi. Ni katika kutekeleza agizo la Rais Magufuli

    ni kweli kwa sababu iweje wachomoe matairi? ila mkuu aliwaambia wafanye tuu maana yeye ndo mkubwa akisema amesema hakuna wa kumuuliza na mtu akitaka kuuliza aende mjengoni akahoji...
  6. F

    JamiiForums Tanzania Magari, pikipiki yang'olewa matairi. Ni katika kutekeleza agizo la Rais Magufuli

    nafikiri haitakua sawa wachomoe matairi na bado wakupeleke mahakamani... ni muhimu kuzingatia sheria! wanasahau sheria no msumeno ipo siku utawaka na wao:mad:
  7. F

    JamiiForums Tanzania Sakata la Uber na Madereva Taxi jijini Dar: Ushauri kwa RC Makonda

    kwa nini wakimbilie kulalamika wakati mfumo wao bado ni mbovu? bado kuna watu wanaogopa kupanda teksi usiku kwa sababu wana dhana mbayaaa.
  8. F

    JamiiForums Tanzania Sakata la Uber na Madereva Taxi jijini Dar: Ushauri kwa RC Makonda

    kwanza kabisa ni ukweli usiopingika lazima biashara hii tanzania ibadili mfumo, pili kuna haja ya kutumia wataalamu wetu wa nyumbani vizuri.
Back
Top Bottom