Recent content by fikirimswahili

  1. F

    Sasa kwenda Bukoba ni TZS 100K kutoka TZS 65K, LATRA mnafahamu hali halisi ya maisha ya Watanzania wenzenu?

    Wanaomiliki mabasi ni wakubwa wenyewe. Na ndio wanapanga bei. Dah!!
  2. F

    Upinzani tusameheni tunawaangusha sana, Ila kwa hili itisheni Press ya Kitaifa

    Kwa hiyo DP itafanya miujiza, ok.. Sent from my SM-A315G using JamiiForums mobile app
  3. F

    Nashauri tufute vyama vya upinzani vilivyopo tuanze upya harakati za kudai mageuzi ya kweli

    Mbona hata sasa hivi ccm iko peke yake yaani inafanya inachokitaka bila woga wala nini.
  4. F

    Mwigulu ajikanyaga Bungeni kuhusu kodi ya Tsh. Trilioni 360 za Makinikia ya Dhahabu

    Zingelipwa wasingetutoza tozo za miamala ya simu na benki..
  5. F

    GE2020 Mwana JF, be the first to know kuwa CCM ndio mshindi wa jumla wa Uchaguzi huu

    Sina tatizo na maelezo yako marefu ila hiyo para ya mwisho sina uhakika nayo, kama ni wananchi au ni group la watu wachache.
  6. F

    Mazingira ya Lupaso Mtwara tumeyaona, tufanye marekebisho

    Yaani wanadamu acha tu. Kila utakachofanya watalalamika tu, bora kuamua kufanya nafsi yako inavyoona ni sawasawa bila kujali watasema nini
  7. F

    Kwa mujibu wa Lissu, kumbe hata Majaji hawalipi kodi!

    Kwani wabunge hawalipi kodi?
Back
Top Bottom