Recent content by fikirakali

  1. F

    DOKEZO Wanafunzi wanaagizwa kupeleka matofali ikiwa kama adhabu wanapofanya makosa shuleni

    Unamtuma mtoto akaibe tofali site za watu akuletee, si umpe mchanga na cement akupigie tofali kama unataka kumfundisha au kumpa adhabu, akiiba leo akaleta hizo tofali kesho atakukaba akupore maana ulimfundisha, lazima ujiulize ninavyomtuma tofali atapata wapi? Mwingine hatasema nyumbani...
  2. F

    DOKEZO Wanafunzi wanaagizwa kupeleka matofali ikiwa kama adhabu wanapofanya makosa shuleni

    Ndizo athari nilizoziona nikaamua kuleta hili dokezo, nilielewa kwamba si watoto wote watasema nyumbani ili wasaidiwe, wengine wataenda kuiba katika site za watu, mwisho tunaongeza tatizo la maadili ila kuna watu hawaelewi, mtoto akianza kuiba tofali leo kupeleka shule kesho ataiba ili akauze...
  3. F

    DOKEZO Wanafunzi wanaagizwa kupeleka matofali ikiwa kama adhabu wanapofanya makosa shuleni

    Lini baba yako aliadhibiwa kwa kosa lako kuchelewa darasani au kuchelewa kumaliza kazi ya darasani?
  4. F

    DOKEZO Wanafunzi wanaagizwa kupeleka matofali ikiwa kama adhabu wanapofanya makosa shuleni

    Kumtoza mtoto hela kunamsaidiaje asiwe shoga? Mpe cement na mchanga apige tofali si kumwambia akanunue, pesa atapata wapi au ndio aanze ushoga ili apate pesa maana hafanyi kazi fikiri nje ya box
  5. F

    DOKEZO Wanafunzi wanaagizwa kupeleka matofali ikiwa kama adhabu wanapofanya makosa shuleni

    Kuna ujuzi wa kununua tofali soma vizuri, au unazungumzi ujuzi wa kuiba hela unafikiri watoto wrote watasema nyumbani kuwa wanatakiwa kununua tofali? Unamwambia mtoto akanunue tofali akuletee? Mpe mchanga na cement apige uone kama tutaongea, Tuna tatizo kubwa la uelewa, hakuna anaepinga mtoto...
  6. F

    DOKEZO Wanafunzi wanaagizwa kupeleka matofali ikiwa kama adhabu wanapofanya makosa shuleni

    Kukimbia tatizo si kulimaliza, hapa ni mwazo wa kufikisha ujumbe kwa mamlaka husika, haiwezekani mwanafunzi ashindwe kuandika kazi au akose swali mzazi ukanunue matofali, kuna adhabu za kufyeka nyasi, kuchimba mashimo, kudeki madarasa na vyoo, hill la mtoto kutozwa pesa haikubaliki
  7. F

    DOKEZO Wanafunzi wanaagizwa kupeleka matofali ikiwa kama adhabu wanapofanya makosa shuleni

    Ndio mwongozo unavyosema mwanafunzi atoe pesa akifanya kosa? Tena kosa la kutokusanya daftari? Bei ya tofali unaijua? Huyo mtoto anapata wapi 5000 tshs za kwenda kununua tofali na kuzileta shuleni? Au mmekula hela za ujenzi mnatafuta pa kuijazia?
  8. F

    DOKEZO Wanafunzi wanaagizwa kupeleka matofali ikiwa kama adhabu wanapofanya makosa shuleni

    Soma uelewe,sijasema kupiga tofali, mwalimu anamwambia mwanafunzi akanunue tofali hela anapata wapi? Ulishawahi kumpa mtoto tsh 10000 aweke ili alichelewa kumaliza kazi za darasani alipe kama adhabu? Hii ni sawa na kulipia adhabu kwa pesa badala ya kazi na viboko, hakuna mwongozo wa elimu...
  9. F

    DOKEZO Wanafunzi wanaagizwa kupeleka matofali ikiwa kama adhabu wanapofanya makosa shuleni

    Elewa tofauti kati ya kufyatua na kununua, kufyatua material na vifaa vipo hiyo sawa, wewe unampa mwanao hela za kununua tofali shule?
  10. F

    DOKEZO Wanafunzi wanaagizwa kupeleka matofali ikiwa kama adhabu wanapofanya makosa shuleni

    Kuna tofauti ya kupewa vifaa ufyatue na kwenda kununua soma uelewe, hela za kununua tofali watoto wanapata wapi?
  11. F

    DOKEZO Wanafunzi wanaagizwa kupeleka matofali ikiwa kama adhabu wanapofanya makosa shuleni

    Tofautisha kuchimba mashimo nk, kununua tofali mwanafunzi anapata wapi hela?
  12. F

    DOKEZO Wanafunzi wanaagizwa kupeleka matofali ikiwa kama adhabu wanapofanya makosa shuleni

    Je, huu ni ubunifu au kuwakomoa wazazi? Kinachoendelea katika shule ya Sekondari Mbande ni kitu cha kutizamwa kwa Jicho la kipekee kwa kuwa kina madhara yake na kisipozungumzwa na kutolewa maamuzi na mamlaka kitaleta shida. Kumeibuka mtindo wa kuwatoza wanafunzi matofali matatu na kuendelea...
  13. F

    SoC02 Mitandao ya kijamii na usalama wako

    MATUMIZI SAHIHI NA SALAMA YA MITANDAO YA KIJAMII Mara nyingi tumekua tunatumia mitandao ya kijamii bila kujiuliza juu ya usalama wa taarifa zetu. Tumekuwa kama mateka katika mitandao hii ya kijamii kiasi cha kusahau kuwa kuna hali ambayo tunaruhusu taarifa zetu muhimu kuwafikia watu wasio...
  14. F

    SoC02 Athari za siasa katika Utawala wa Sheria

    Katika siku za hivi karibuni limeibuka wimbi la watu wanaodai kuwa siasa ni kila kitu katika maisha. Je ni kweli kuwa siasa ni zaidi ya sheria ambayo ndio uti wa mgongo katika utawala bora? Kwa Jicho pevu kabisa naweza kusema hapana si kweli kuwa siasa ni zaidi ya sheria. Ili kupata utawala...
  15. F

    ITV kituo kitafungwa au mtaingiza Nchi katika machafuko

    Umekosa cha kuandika nn? We ndio ukaribisha machafuko acha mambo hayo
Back
Top Bottom