Recent content by Fighter mohamed

  1. Fighter mohamed

    Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

    Yani nikwamba hata FIFA inajua mpaka sasa DUNIANI timu ambazo bado hazijapoteza mchecho ni 3TU 1)Liverpool 2)young Africans 3)Azam Yani hii inajulikana duniani kote Yanga piga keleleeeeeeeee[emoji123][emoji123]
  2. Fighter mohamed

    Nini hutokea hasa tunapokunywa energy drinks?

    Hivi maranyingi nasikiaga watu husema energy dring hupelekea matatizo katika mfumo wa uzazi endapo utakuwa unatumia mara kwa mara Je kuna ukweri kuhusiana na hili??
  3. Fighter mohamed

    Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

    Habri wanazo na msimu huu hatufumgwi
  4. Fighter mohamed

    Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

    Watani zetu watutania sisi wazee wa vibakuli Lakini licha ya vibakuli vyetu lakini uwanjani kazi wanaipata
Back
Top Bottom