Mnaanza kusingizia watu wengine kwa sababu viongozi wa serikali ya Tanzania huwa hawafi.......Acheni ujinga wenu, acheni upumbavu wenu. Huyo ameumwa moyo mambo yakaharibika.....Angekuwa amepigwa rungu akafa, au amepewa sumu na ikadhihirika ni kweli, hapo tungesema watafutwe watu na wakamatwe...
Wewe ndiyo mwenye shida ya afya ya akili mjinga wewe usiyejua hata haki yako ya msingi. Huyo mama anawaziba makalio yenu ndiyo maana akili zenu zinakuwa hazipo. Mtanzania yeyote anayekaa nje ya nchi hata hapo Kenya ana akili za kutosha, wanashindwa kuwaelewa mnakaa kwenye mavumbi halafu bado...
Stand za mabasi, sijui daladala zinakusaidia nini? Mna mawazo primitive ninyi....Hivi hivyo ni vitu vya kuongelea leo, hayo siyo mambo ya kusifia. Vitu vidogo sana.
Yes, you are right....Upo sahihi . Kuna vitabu vimetumia mawazo ya binadamu kama vile Mithali au Proverbs kwa kiasi kikubwa ni mfalme Solomoni (Suleiman), hao waandishi wa gospels ukiangalia maandiko yao yanaelekea kwenye events ya vitu vilivyotokea wakati wa Yesu. Unaweza kuona walioandika...
Kaka nimesoma Bible Knowledge na naelewa walivyokuwa wakitangatanga, nimesoma vizuri bible knowledge 1 and Bible knowledge kuanzia form III hadi IV na nilifaulu vizuri sana. Mimi ni muumini mzuri sana, na ninayo imani imara isiyoyumbishwa. Sibishani na Mungu, hilo halipo hata kidogo...
Suala la kuhoji ni la msingi, watu wanahoji wanataka kujua na wana hamu ya kujua. Kuna vitu vingine havieleweki sana. Kwa mfano kutoka Mlima wa Sinai hadi Caanan ni kilomita 350, wengine wanahoji....inakuwaje Israelites walichukua miaka 40 kutembea hadi kufika Caanan??? Hilo ni suala la...
Kwa ajili ya kujifunza, Religions plays a big roles kwa serikali kwa sababu inahimiza watu watende mema na waache maovu, la sivyo ungesikia watu na viongozi wa serikali wanapigwa mishale kila siku. Dini zinafanya na zinahimiza watu kutenda mema na kuacha maovu, sasa hapo utakuta hakuna crimes...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.