Recent content by field marshall1

  1. F

    JamiiForums Tanzania Huyu ndiye Freeman Mbowe. Hapendwi mtu ila pesa kwanza. Anamchukia TAL kuliko ambavyo angemchukia SSH aliyemtia gerezani miezi 8+ bila kosa!!

    Mbowe huwa ana shida sana, ametufikisha pabaya kwa kununulika. Nchi hii ina shida sana, na mtu kama Mbowe amevuruga sana upinzani amevuruga mno, hafai hata kidogo. Mbowe alikuwa mbaya na ni mbaya sana.
  2. F

    JamiiForums Tanzania Nimeumizwa sana na Kifo cha Mume wa Rais Samia hadi kushindwa kutulia Wiki nzima. Watanzania Tumuombee Rais wetu katika kipindi hiki kigumu

    Wewe unahusika na nini kwa mume wa mtu? Unashindwa kutulia kwa vipi? wewe ni mkewe pia? Wakati mwingine uwe unaacha mambo ya kipuuzi ambayo hayakusaidii lolote. Mwashambwa acha ujinga wewe.
  3. F

    JamiiForums Tanzania Ni Aidha Katambi ana changamoto ya Afya ya Akili au Obsession au amekosa objective na Mission kwenye Wizara yake

    Mwigulu Madelu NCHEMBA pia ana tatizo hilo kubwa sana. Hana tofauti sana na huyo Kitambi au Katambi.
  4. F

    JamiiForums Tanzania Malisa akamatwa na Polisi, Namanga na kupelekwa kusikojulikana

    Wanawapoteza watanganyika, na siyo watanzania. Kwao wazanzibari ni sawa, hawaguswi......Ni sisi tu watanganyika
  5. F

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Ndejembi ukakue, sio mwili ila akili, usiwe Samaki

    Utafiti gani unaoonyesha kuwa samaki akikua anapoteza AKILI???? Mambo ya kwenye taarabu ya kipumbavu! Kiumbe chochote kile kikikua kimwili na kiakili kinakua.....Utafiti wa kuwa samaki akikua anakuwa na Dementia umepatikana vipi? Huyu mama asituletee upumbavu wake wa kijinga. Sorry wazanzibari...
  6. F

    JamiiForums Tanzania 'Deogratias John Ndejembi' tukiacha asili yake, ana sifa gani za maana kwa cheo kikubwa kama hicho?

    Atakuwa ana wakati mgumu sana, kwa haya yanayotokea sijui kama atatoboa kwenye nchi hii. Mpango hakuweza kuendelea, Nchimbi alijiuzulu, huyu anayekuja utakuwa ni muendelezo huo huo. Hakuna litakalobadilika, hadi makamu wa rais anakuwa censored, ni ngumu sana ndugu zangu watanganyika. Leo huduma...
  7. F

    JamiiForums Tanzania Tunataka jina halisi la makamu wa Rais mteule

    Ulitaka niseme nini wewe? Wakati mwingine ni heri unyamaze, usiongee kwa vile una mdomo. Angalia nilichoandika halafu uongee jambo linaloendana na hayo niliyoandika.
  8. F

    JamiiForums Tanzania Tunataka jina halisi la makamu wa Rais mteule

    Wewe ni mpumbavu kupindukia
  9. F

    JamiiForums Tanzania Tunataka jina halisi la makamu wa Rais mteule

    Wewe umefika Bagamoyo au Tabora, kuna watu wengi sana wanafanana na Rostam, au hao unaowaita mabaki ya wapemba, wengi tu. Tembeeni muone, hata huko Mtwara (Ukisimama Nchale, ukikaa Nchale, ukitembea Nchale) wapo watu wengi kama wapemba......Lakini si wapemba. Acheni ubaguzi ninyi, kwa hiyo ukiwa...
  10. F

    JamiiForums Tanzania Tunataka jina halisi la makamu wa Rais mteule

    Hayo ni mawazo ya kijinga, mnabisha msichokijua, hayo mambo ya conspiracy theory hayana maana, acheni kusingizia na kuongea vitu msivyovijua. Mawazo mabovu, kama mama yake ni mrangi? Mnadharau wagogo, kwani lazima wagogo wote wafanane? Acheni mambo ya kudharau watu wengine, ongeeni pointi za maana.
  11. F

    JamiiForums Tanzania Tunataka jina halisi la makamu wa Rais mteule

    Tafuteni ukweli kabla ya kuongea jambo ambalo hamjui ndugu zangu.
  12. F

    JamiiForums Tanzania Tunataka jina halisi la makamu wa Rais mteule

    Ni wewe tu unayefanana na Mmatumbi. Watanganyika mpo very judgemental mno, kama mama yake ni mrangi. Anaweza asiwe mtanganyika ila kama baba yake ni mtanganyika siyo tatizo. Mzazi mmoja akiwa mtanganyika au mzanzibara ni sawa, na awe amezaliwa TZ, asiwe na uraia wa nchi nyingine.......
  13. F

    JamiiForums Tanzania Tunataka jina halisi la makamu wa Rais mteule

    Ni jina lake halisi, namfahamu tangu akiwa primary school. Acheni uongo. Amezaliwa na kukulia Dodoma.
  14. F

    JamiiForums Tanzania Dkt. Faraja Kristomus: Kiutaratibu Nchimbi amekosea kuleta barua Public

    Huyu ni chawa mwingine anayetegemea HISANI ya Samia. Kila kitu siku hizi ni wazi, bado mna mawazo ya kizamani, yaani mnategemea mfiche fiche ya ki-CCM. Upumbavu mtupu unaongea fala wewe.
  15. F

    JamiiForums Tanzania Japo bado siamini, hadi itolewe na taarifa ya Ikulu, ila kama ni kweli, basi VP tumpe mkwe ili 2030 awe na VP wake yule binti yetu, 2040 binti apokee

    Mkwe ana kifua kipana, ina maana zaidi ya Inch 35 kama tulivyofahamishwa, akipewa U-VP baadaye bi mkubwa akiondoka, akiwa rais basi bi mdogo atakuwa '"First lady" hapo vipi?
Back
Top Bottom