Wewe umefika Bagamoyo au Tabora, kuna watu wengi sana wanafanana na Rostam, au hao unaowaita mabaki ya wapemba, wengi tu. Tembeeni muone, hata huko Mtwara (Ukisimama Nchale, ukikaa Nchale, ukitembea Nchale) wapo watu wengi kama wapemba......Lakini si wapemba. Acheni ubaguzi ninyi, kwa hiyo ukiwa...