Recent content by field marshall1

  1. F

    JamiiForums Tanzania Mtoto Wa Zushu Na Diamond Anakaribia Kufikisha Billion Moja Alizopewa Kama Zawadi Ndani ya Wiki Moja Wakati CHADEMA Wanaelekea Kukata Tamaa Kukimbia

    Haitwi Zushu, anaitwa Zuchu, jifunze kutamka majina ya watu vizuri wewe Mwashambwa. Kama amefikisha 1 Bil, sisi inatuhusu nini? Inahusiana vipi na CHADEMA? Ongelea mambo ya maana, not always being mchawa. Acha ujinga wewe.Umeweka picha za watu, je unayo consent?
  2. F

    JamiiForums Tanzania Mwabukusi: Mbeya Sio Jiji ni Mkusanyiko wa Vijiji Vikubwa. Haina Miundombinu na Mzunguko wa Pesa ni Mdogo

    Wewe ndiyo unayemenywa pamoja na mama yako kwenye makalio yenu......Unajuaje mambo ya vizibo? Mama yako amekwambia fala wewe. Unaweza kuhusu makalio yako wewe gay usiye na adabu. Mshenzi wewe.
  3. F

    JamiiForums Tanzania Kwa nini serikali haipati wazo la kuanzisha miji mipya ya kimkakati ya maendeleo jumuishi?

    This is great idea, kwanini tusijenge miji yetu kwa mifano hiyo?? Tutakuwa na huduma zote zinazotakiwa, hii itasaidia kuondosha watu kukimbilia Dar es Salaam tu. Pia ingewezekana kwenye miji mikubwa, huduma za ofisi ziwekwe nje ya miji ili kupunguza misongamano kwenda katikati ya miji hiyo...
  4. F

    JamiiForums Tanzania Nukuu za Rais Samia akifungua mradi wa mabasi yaendayo haraka, awamu ya pili BRT

    Rais Samia, miji yetu imekaa vibaya, haina barabara za kutosha za kupitika muda wote. Tunatakiwa miji yetu ipangwe vizuri na iwe na barabara za kutosha.
  5. F

    JamiiForums Tanzania Mwabukusi: Mbeya Sio Jiji ni Mkusanyiko wa Vijiji Vikubwa. Haina Miundombinu na Mzunguko wa Pesa ni Mdogo

    Is your brain function properly? Hujui unachoongea fala wewe. Wewe ni matako tu fala wewe, hujui nachoongea, inahusiana vipi na utumwa fala wewe. Mshenzi mkubwa wewe. Umaarufu wa Mbeya upo wapi? Kwani tukisema kwingine kote kujengwe vizuri huoni faida mbwa wewe.
  6. F

    JamiiForums Tanzania Mwabukusi: Mbeya Sio Jiji ni Mkusanyiko wa Vijiji Vikubwa. Haina Miundombinu na Mzunguko wa Pesa ni Mdogo

    Mbeya hauna quality ya kuitwa jiji kaka. Acha kujivunia vitu ambavyo siyo halisi. Miji ya Tanzania bado sana, kwa sababu imejengwa ki-ovyo ovyo, na bado inaendelea kuwa ya ovyo ovyo. Miji haina mipangilio.....Kwani kuna shida gani iwapo miji itapangwa na barabara zikapanuliwa na taa zikawekwa????
  7. F

    JamiiForums Tanzania Mtoto Wa GSM Wa Katoro Alipata Zaidi Ya Billion 1.4 Ndani ya Muda Mfupi Kama Zawadi kwenye Send off Yake Lakini CHADEMA wanahenyeka hadi leo

    Mali yote mliyonayo CCM ni ya wizi, kuanzia viwanja vya michezo, kumbi za mikutano, magari nk. Tulichangishwa wote wakati wa chama kimoja. Nnatakiwa mrudishe pesa zetu fisi ninyi.
  8. F

    JamiiForums Tanzania Kumbe jana Rais alikutana na "vyama" vya siasa! Mwenye clip ya tamko lolote la Rais aniwekee hapa. Mange ateta haya

    Naongezea haya yafuatayo: 5.0 Warudishe zile maiti walizoiba, wawape ndugu zao wawazike kwa heshima, na October 29,2025 iwe siku ya kuwakumbuka watanzania waliokufa kwa kutetea nchi yao. 6.0 Waliotekwa wote waachiliwe, wale waliouawa kama Azory Gwanda, Ben Saanane, Soka na wengineo wengi...
  9. F

    JamiiForums Tanzania Utasemaje tupo vizuri kisiasa wakati hujawajibika kwa mauaji ya October 29

    Huyo mama akili yake imejaa pumba, yaani anatufanya sisi wajinga. Eti kisiasa wapo vizuri....Kivipi? Watu wameuawa na maiti wameziiba wanategemea tunyamaze. Hana akili huyo mama.
  10. F

    JamiiForums Tanzania ACT: Tunaitaka SMZ, itoe ufafanuzi kuhusu usahihi wa gharama za Miundombinu ya AFCON Zanzibar

    Zanzibar hiyo Trillioni 1.6 imepata wapi wakati ina uchumi mdogo. Hizo pesa tunajua zimetoka wapi......Mnaharibu uchumi wa nchi kwa upumbavu wenu ninyi CCM, wapumbavu mno.
  11. F

    JamiiForums Tanzania Katambi: Tanzania hakuna Ugaidi, kunaweza kuwa na viashiria

    Huyu MAVI anajua anachoongea? Mpumbavu na mjinga sana.
Back
Top Bottom