Niliwai kuandika kwnye ukurasa wangu wa fb kuwa wasira ana miaka zaidi ya 25 mfululizo akiwa mbunge lkn kashindwa kujenga hata choo cha shule huyo ha2fai kasababisha wilaya imekuwa masikin kuliko zote tanzania,mabadiriko ni mhimu mwaka huu,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.