Tunashangaa Tamisemi kwenye tangazo lao walisema pesa za kujikimu tutazikuta kwenye halmashauri zetu lakini cha ajabu watu wamefika kuripoti halmashauri wamejaza tu mikataba na vitu vingine vyote kisha wakatangaziwa warudi walipotoka kwa kuwa pesa za kujikimu hamna.
Hii serikali yetu vipi jamani?
MIMI NAFUNDISHA CHEMISTRYNA BIOLOGY SAWA NA HITAJI LA HIYO SHULE. NIMEMALIZA SUA MWAKA HUU BSc. EDUCATION YA MASOMO HAYO. NIPO MBALI NAOMBA CONTACT ZA HYO SHULE.
Habari wakuu,
Nimemaliza Chuo Bsc. Education (Chemistry And Biology), Natafuta Kazi Ya Kufundisha Kwa Muda Wakati Tunasubiri Ajira Toka Serikarini, Nipo Morogoro.
Natanguliza shukraan
Kama Una 100% Mkopo, Utalipa Tu Zile Fedha Za Awali Kwa Ajili Ya Registration Ni Kama Laki Na 98 Kama Hakutakuwa Na Mabadiliko Pamoja Na Hela Ya Accomodation Kama Pia Utahitaji, Ambayo Nayo Nackia Imepanda Maana Mwanzoni Ilikuwa Elfu 80, Sahv Nackia Ni Juu Ya Hapo.
Sio first year wote wanaoreport campus ya solomon mahlangu ila kuna baadhi ya kozi zilizoteuliwa kusoma kule tena kwa miaka yote mi3 ikiwemo education, environmental science, rural, aea etc. Lakini first year wengine wanaripoti kule kule main campus na wanasoma kule miaka yote.
Wapendwa natafuta nafasi ya kufundisha masomo ya Chemistry na Biology, mwenye kujua shule yoyote ya private iliyopo Morogoro inayohitaji mwalimu wa masomo hayo naomba tuwasiliane.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.