Wakuu hope mko salama. Kuna flat screen LG nchi 32 inauzwa. Ni made in Korea rangi ya silver, picha zake ndo hizo hapo attached. Bei kuanzia Tsh 350,000/= na ni maeneo ya hapa Dar es salaam.
Kwa anayehitaji aje Pm tafadhali
Na wakishajua una ka kipato wanakua ving'ang'anizi kama nin vile. Mtu unania ya kuweka na kusepa kwa demu mwenyewe hana mwonekano wa kuoleka lakini anakugaaaanda kisa umempandisha kwenye ka Ist.
Sent from my SM-A510F using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.