Hawa wasanii wa the Comedy nawachukulia kama watu wengineo wowote wanaotafuta maisha ... inawezekana walitufurahisha sana walipokua wanawashambulia mafisadi wakiwa kule eatv ... na inawezekana wasitufurahishe wakiwa tbc1 ... ila wao wameona inalipa (kifedha) wakiwa tbc1.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.