Recent content by Fazilijr

  1. F

    Nina milioni 100 naombeni wazo la biashara

    habari yako ndugu nime soma kwa makini your message kwenye thread yangu naona hili wazo la lodge liko fresh sana. una mtu yoyote ambaye anafanya hii biashara? au ndugu wala rafiki? au mwenyewe una experience nayo? kama una experience kidogo hivi kwa mtaji wa 200M unaweza kamilisha kila kitu(...
  2. F

    Nahitaji wazo la biashara isiyohitaji usimamizi mkubwa

    hipo we nitumie yako inbox alafu mi nikutafute
  3. F

    Nahitaji wazo la biashara isiyohitaji usimamizi mkubwa

    yoyote ambayo inaweza ikapatikana tu
  4. F

    Nahitaji wazo la biashara isiyohitaji usimamizi mkubwa

    Business phone number haikuwagi private ndugu yangu, natafuta ideas za biashara tu ndugu kuna watu wengine hawapendagi ku share ideas zao in public na nikiona business idea yako ina make sense why tusifanye kazi remember kuna mtu anaweza kuwa na idea but anakosa capital why tusishirikiane?
  5. F

    Nahitaji wazo la biashara isiyohitaji usimamizi mkubwa

    Habari zenu ndugu zangu wana JF Nilikuwa naomba msaada wa wazo la biashara ambayo haitohitaji management kubwa sana. Mimi niko nje ya nchi na nimeajiriwa sitaki kuacha kazi yangu right away. Nataka nianze na uwekezaji wa 50M kwa kuanza. Ni biashara ipi ambayo unaweza fanya kwa kiasi hicho...
  6. F

    Nina milioni 100 naombeni wazo la biashara

    Nilikuwa nimeajiriwa sehemu now napenda ni move on
  7. F

    Nina milioni 100 naombeni wazo la biashara

    nilikuwa nafanya sehemu now napenda ni move on
  8. F

    Nina milioni 100 naombeni wazo la biashara

    Asante sana kwa wazo, nitalifanyia kazi
  9. F

    Nina milioni 100 naombeni wazo la biashara

    kwa experience yako mtu anaweza tengeneza kiasi gani kama faida kwa mwaka mmoja?
  10. F

    Nina milioni 100 naombeni wazo la biashara

    Ndo maana nimekuja kwenu ndugu zangu kama unayo wazo ya bidhaa niambie ndugu yangu
  11. F

    Nina milioni 100 naombeni wazo la biashara

    nime kuelewa boss wangu. kuna jamaa kaniambia biashara ya bar haina faida Sijuwi wewe boss wangu una experience na hiyo biashara?
  12. F

    Nina milioni 100 naombeni wazo la biashara

    Asante sana ndugu naisi mtaji wangu ni mdogo kuanzisha kitu kikubwa kama hicho. Au we unasemaje?
  13. F

    Nina milioni 100 naombeni wazo la biashara

    Asante sana ndugu, hizi biashara una experience nazo?
Back
Top Bottom