habari yako ndugu nime soma kwa makini your message kwenye thread yangu naona hili wazo la lodge liko fresh sana. una mtu yoyote ambaye anafanya hii biashara? au ndugu wala rafiki? au mwenyewe una experience nayo? kama una experience kidogo hivi kwa mtaji wa 200M unaweza kamilisha kila kitu(...
Business phone number haikuwagi private ndugu yangu, natafuta ideas za biashara tu ndugu kuna watu wengine hawapendagi ku share ideas zao in public na nikiona business idea yako ina make sense why tusifanye kazi
remember kuna mtu anaweza kuwa na idea but anakosa capital why tusishirikiane?
Habari zenu ndugu zangu wana JF
Nilikuwa naomba msaada wa wazo la biashara ambayo haitohitaji management kubwa sana. Mimi niko nje ya nchi na nimeajiriwa sitaki kuacha kazi yangu right away. Nataka nianze na uwekezaji wa 50M kwa kuanza.
Ni biashara ipi ambayo unaweza fanya kwa kiasi hicho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.