Recent content by faykeys

  1. F

    Nimekata tamaa ya kupona .

    Watu wengine jmn!!kams huna cha kusema kaa kimya haikugharimu.acha wenye ushauri wakumsaidia waje.daah!!kifupi umechosha mdau.
  2. F

    Mdada anayejitambua anahitajika

    Mkuu kwann hutaki kumwaga sifa unazotaka nyingine..kufanya searching yako kuwa rahisi.na tuone tunamatch...fursa hiyo,ohoooo
  3. F

    Nauza....

    Kitenge cha makanzie kwa bei ya 35.tu.hukaa pic 4.tunafanya delivery sehemu yoyote kwa dsm.karibuni
  4. F

    Nimemuacha mkurya rasmi

    Watu wapo makiniii kama c.i.a...asnte sana
  5. F

    Nauza gari

    This is the car.asante wadau..
  6. F

    Makenzi

    Pata kitenge chako cha makenzi kwa wapendao,kwa tsh.35,000/- tu.pia tunafanya door to door delivery kwa wa dsm...yaani kitenge kunakufwata ulipo,iwe ofcn,nyumbani,umepoa mahali.m kitakufikia..karibuni sana.
  7. F

    Fundi Wa Laptop(pc)

    Mavuno house ipo jengo la pili baada ya jengo la nmb house posta kama unaelekea kwa yule askari.
  8. F

    Nauza gari

    This is the car,napatikana dsm.asanteni wakuu
  9. F

    Hisia zangu kwa marehemu!

    Pole sana kwa mawazo juu ya marehemu,ila ningependa kukushauri kwa mtazamo wangu kuwa,si jambo jema la kutaka kuchora tatoo ya jina la marehemu,jaribu kumsahau tu,kama walivyosema.wadau wengine chochote chake ambacho unacho jaribu kuwa navyo mbali au uchome kabisa.pili hiyo tatoo unayotaka...
  10. F

    Fundi Wa Laptop(pc)

    Nenda pale posta mavuno house,floor ya kwanza kuna kijana mmoja ana ofc yake.anaitwa cheche,yupo.vizuri kama upo dsm mkuu.
  11. F

    Nimeumizwa na Mwanamke; sifikirii kupenda tena kwa sasa!

    Sawa kaka,yote ni maamuzi.so.long yanakupatia amani.kila la kheri.bora aisee kuliko ungeleta madhara kwa zile hasira.,haya kila la kheri.
  12. F

    Nimeumizwa na Mwanamke; sifikirii kupenda tena kwa sasa!

    Pole saana jmn,mweh!!wengine tunatamani hizo bahati,kupendwa,kujaliwa,ila ndio hivyo yote maisha,tunajifunza pis mshukuru Mungu ndiye ajuaye kipi kizuri kwako.usiseme hutopenda,kwani pendo huwa lipo tu,umpate atakayekupenda pia.baada ya yote jua tu ww si wakwanza,songa mbele kakayangu.
  13. F

    Mafuta gani mazuri kwa ngozi?

    Sawa mkuu,simzuri sana na direction ila kwenye makutano ya zanaki na samora posta dsm,panda kama unapita burhan hospital,thn kuna dry cleaners thn next.kuda duka la vipodozi na urembo mwingine.hapohapo ulizia.
  14. F

    Mafuta gani mazuri kwa ngozi?

    Mdau nilipotea ila yale mafuta ya queen elizabeth napofahamu wanauza yaliisha bt embu ni.pm nkupe direction unapoweza kuyapata nduguyangu
  15. F

    Nauza gari

    Corolla NZE,Bei inaanza 5.8millioni,automatic,1492Cc,white colour,with spirts rims,ac.Model ya 2001.atakayekuwa anahitaji ani pm tufanye biashara.asante!
Back
Top Bottom