Pata kitenge chako cha makenzi kwa wapendao,kwa tsh.35,000/- tu.pia tunafanya door to door delivery kwa wa dsm...yaani kitenge kunakufwata ulipo,iwe ofcn,nyumbani,umepoa mahali.m kitakufikia..karibuni sana.
Pole sana kwa mawazo juu ya marehemu,ila ningependa kukushauri kwa mtazamo wangu kuwa,si jambo jema la kutaka kuchora tatoo ya jina la marehemu,jaribu kumsahau tu,kama walivyosema.wadau wengine chochote chake ambacho unacho jaribu kuwa navyo mbali au uchome kabisa.pili hiyo tatoo unayotaka...
Pole saana jmn,mweh!!wengine tunatamani hizo bahati,kupendwa,kujaliwa,ila ndio hivyo yote maisha,tunajifunza pis mshukuru Mungu ndiye ajuaye kipi kizuri kwako.usiseme hutopenda,kwani pendo huwa lipo tu,umpate atakayekupenda pia.baada ya yote jua tu ww si wakwanza,songa mbele kakayangu.
Sawa mkuu,simzuri sana na direction ila kwenye makutano ya zanaki na samora posta dsm,panda kama unapita burhan hospital,thn kuna dry cleaners thn next.kuda duka la vipodozi na urembo mwingine.hapohapo ulizia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.