Kaka inakusaidia nini kuandika huo upuuzi,Lowassa Lowassa huna kazi ya kufanya,upende usipende hakuna wa kumzuia Lowassa.Hii nchi tutanamhitaji Lowassa ndio mwenye uwezo sababu ya chuki zenu binafsi ndio maana mnafuatafuata.
Hii nchi sio maabara ya kufanyia majaribio ya serikali tatu rasimu iliyotolewa juzi na mheshimiwa Chenge imetulia Safi sana,hatuko tayari kuona nyinyi CHADEMA mnaleta mandamano yasiyo na tija mshukuru Mungu tuna Rais mstaarabu na mwenye Utu uliotukuka lasivyo mungeona cha mtema kuni,tuna...
Unaposema Lowassa Fisadi kwa vigezo vyako visivyo na mashiko ni sawasawa na kutukana viongozi wote wa serikali plus wabunge bila kujijua,na unastahili kukamatwa CCM is the best political party, na ili kiendelee kupaa Lowassa ndio Commander anayefaa.
Acha majungu usiletee maneno ya vijiweni kwenye javi hili na kujenga chuki,jamani tusishangae sana kila wakati watu kusema Lowassa nafanya hiki mara kile waswahili wanasema Mti wenye matunda ndio unao tupiwa mawe.Lowassa is a Presidential material.
Lowassa ni mtendaji sio mtu wa maneno mengi,95% utendaji na 5% maneno wao sema fisadi hawana hoja Bali ni chili binafsi history yake ya utendaji inambeba Lowassa,linapokuja suala la kutumikia wananchi hana ushikaji.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.