Recent content by favourismyname

  1. favourismyname

    Kijana ukitaka kuoa, oa binti aliyezaliwa miaka ya 2000 hadi 2004

    Ngoja tuwapishe vijana wa 90s...naona mnajadili jambo lenu
  2. favourismyname

    Mke wangu anataka kuandika jina lake nyumba niliyoijenga

    [emoji120][emoji120][emoji106][emoji106]afuate huu ushauri
  3. favourismyname

    Kama Vera Sidika kawa hivi, mpango ushafeli

    Duh Kwani Huwa wanaweka nn hasa? Ujue Huwa sielewi Ni sindano? Ndo zinawafanya wawe vile?
  4. favourismyname

    Kama Vera Sidika kawa hivi, mpango ushafeli

    Duh[emoji848]acha tuone watakavyokua yetu macho
  5. favourismyname

    Kwa haya ya Masanja nitakuwa wa mwisho kuamini Watanzania tuna akili timamu!

    Acha wajae hao fake hakuna jipya Biblia ilishasema wapoo! Nothing new here!
  6. favourismyname

    Kwa haya ya Masanja nitakuwa wa mwisho kuamini Watanzania tuna akili timamu!

    Mbona hao wenye degree ya theology ukiyajua ya kwao ndo ushenzi mtupu? Kisa hamuyajui ndo maana mnaona wanafaa? Acha tukae kimya tu! Katiba inaruhusu kuabudu unachotaka Ili mradi huvinji sheria ya nchi! Mambo ya Imani ni masuala binafsi.. Mungu hapangiwi amtumie nani,afanye vipi kazi, anaweza...
  7. favourismyname

    Kwa haya ya Masanja nitakuwa wa mwisho kuamini Watanzania tuna akili timamu!

    Hakika Asante km ana akili ataufunga huu Uzi!
  8. favourismyname

    Kwa haya ya Masanja nitakuwa wa mwisho kuamini Watanzania tuna akili timamu!

    Kwahiyo we unawapangia watu namna ya kuishi na kusali? Kila mtu anaishi anavyopenda ilimradi havunji Sheri ya nchi! Katiba ya nchi imempa Kila mmoja uhuru wa kuabudu,we ni nani mpk uanze kuhukumu watu eti hawana akili? Km ni rahisi na hawana akili km unavyodhani we mwenye akili anzisha kanisa...
  9. favourismyname

    Masanja awachana 'live' wambea wa ndoa yake

    Kujibu kivipi mrembo? Km ni watt wanao 3!
  10. favourismyname

    Masanja awachana 'live' wambea wa ndoa yake

    [emoji1787][emoji28][emoji848][emoji849]
  11. favourismyname

    Masanja awachana 'live' wambea wa ndoa yake

    Nakazia ..na maneno ni roho...
  12. favourismyname

    Mange Kimambi ameshindikana kudhibitiwa kabisa?

    [emoji1787][emoji1787]
Back
Top Bottom