Recent content by FAULU NDAGWEMELEYE

  1. FAULU NDAGWEMELEYE

    Rais Samia: Msikubali wanaotaka kuanzisha chokochoko, pakichafuka ni wewe utakayekaa ndani

    KWANINI MNAKIMBILIA AMANI NA MAENDELEO KAMA KINGA YENU KUBAKI MADARAKANI HIVI NINAN AMBAE ANAWEZA KULETA VITA KAMA CYO CCM WENYEWE? WATU WAKIANDAMANA POLICE KAZ YAKE NI KUWALINDA NANI ATAKETA FUJO KAMA MAANDAMANO YAKIFANYWA CHINI YA ULINZI WA POLICE ? SEMEN TU UKWELI KUWA KATIBA MPYA NI MWIBA...
  2. FAULU NDAGWEMELEYE

    Rais Samia anavuna alichopanda, hana budi kuvumilia

    MFUFUE SASA AJE AWASHIKISHE ADABU
  3. FAULU NDAGWEMELEYE

    Mbona CHADEMA haifanyi teuzi kuziba nafasi za mawaziri vivuli waliohamia CCM?

    VIVULI VITOKE WAPI WAKATI HAWANA WABUNGE KWENYE BUNGE LA KIMBUNGA JOBO
  4. FAULU NDAGWEMELEYE

    Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

    POLEN WAZEE WA KULINDA LEGACY YA MSEMAKWELI MPENZ WA MUNGU
  5. FAULU NDAGWEMELEYE

    CCM ikiendelea kupuuza misingi ya uongozi ya Hayati Dkt. Magufuli, ni dhahiri watakosa kura 2025

    MAGUFULI HAKUWA NA MISINGI YOYOTE YA UONGOZ ZAID YA UBABE NA UDIKTETA NDO MAANA ANAPUUZWA
  6. FAULU NDAGWEMELEYE

    Uungwana ni vitendo: Je, CHADEMA watarudisha Tsh. 38 milioni zilizotolewa na hayati Magufuli kumtoa Msigwa jela?

    HIYO MIL38 YA MAGU HAIPO KABISA KTK IDADI YA MIL350 NA WALA MSITUFANYE WAJINGA
  7. FAULU NDAGWEMELEYE

    Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?

    KWANI UBAYA WA MAMA SAMIA NI UPI?? KWAHIYO MLITAKA CCM TU NDO MUWE NA HAKI KTK NCHI HII? MTATESEKA SANA RAIS SAMIA NGANGARI KUMI TENA HAUPENDI UONGOZ WAKE HATA BURUNDI NI NCHI UNAWEZA KWENDA
  8. FAULU NDAGWEMELEYE

    Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?

    Maisha mazuri ya kutekana kuishi kwa hofu kubambikiziwa kesi kupigana risasi hadharani na kugawa pesa hovyo bila mpangilio ndo yalikuwa maisha mazuri kwenu siyo ? Endeleeni kulia ikibidi mwambieni gwajima na mwamposa wakamfufue
  9. FAULU NDAGWEMELEYE

    Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?

    Subirini miaka 10 ipite ndo mlete shombo zenu asante Mungu kwa uongoz wa Rais Samia
  10. FAULU NDAGWEMELEYE

    Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?

    Hebu tuoneshe hiyo chuki ya wazi wazi ya rais samia kwa mtanguliz wake au unatetea usichokijua. Je rais samia Kupandisha madaraja watumishi Viongoz wachadema kufutiwa kesi na kurudishiwa faini yao Uhuru wa vyombo vya hbr kuongezeka Tabia ya kutekana na kupotezwa kwa watu wenye mawazo...
  11. FAULU NDAGWEMELEYE

    Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?

    HATA MM NAWAPA POLE SANA AMBAO HAWAMPENDI RAIS SAMIA
Back
Top Bottom