Mtarban
Ndugu yangu kwa ushauri tu unaweza Kumrepoti wanayo utaratibu mzuri tu wa kuwashughulikia watumishi wao wachafu na watakupa taarifa/Mrejesho mzuri tu
https://taxpayerportal.tra.go.tz/#/misconducts/form/report-misconducts
Binafsi nikupongeze kwa kuanzisha huu mjadala 😊
Mimi namiliki duka la dawa. Nilipopata changamoto kama hii, nilituma taarifa moja kwa moja TRA kupitia:
https://taxpayerportal.tra.go.tz/#/misconducts/form/report-misconducts
Walijibu kwa wakati na walifanya uchunguzi.
Ni vizuri ku-post hapa...
Tunapenda kutoa taarifa kwa umma kuwa kijana wetu mpendwa Daniel Balili Gilbert Buberwa (miaka 17), mwanafunzi wa mwaka wa kwanza wa Diploma ya Uhandisi wa Kompyuta (Computer Engineering) katika Chuo cha DIT, amepotea tangu mchana wa jana.
Taarifa za mwisho kumhusu zinaeleza kuwa alionekana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.