Recent content by fatma sekkaya

  1. F

    Kazi

    Vzur
  2. F

    Kazi

    Sawa ukiitwa wewe pia itakua vzur
  3. F

    Kazi

    Ahaa ok
  4. F

    Kazi

    Alifanya kwa kada ipi maana mm nimefanya ya uhasibu na nimewauliza wahasibu wenzang wanasema hawajaitwa ndio maana nauliza.
  5. F

    Kazi

    Wameanza lini kuita je ww umeitwa?
  6. F

    Kazi

    Ok tenx
  7. F

    Kazi

    Habar zenu wadau naomba kuuliza kwa wale tulioifanya interview tanga tanesco vp wameshaita watu kazini?
  8. F

    Kuitwa kwenye interview tanesco tanga

    Habar za mda huu wadau naskia tanesco pamoja na kuwapigia watu kwa ajili ya interview pia wametoa majina ya watu wanaotarajiwa kufanya interview tanga kwa kada mbali mwenye majina hayo naomba tafadhal
  9. F

    Kuhusu post za TPA

    Mmmh kweli????
  10. F

    Kuhusu post za TPA

    Habar zenu wadau kwa wale mliobahatika kuomba kaz za TPA vp hawajatoa majina ya interview bado???
  11. F

    JINSI YA KUJUA KWAMBA UMEITWA KWENYE INTERVIEW AU LAA KWENYE AJIRA PORTAL

    Ila soon nitakualika kwenye sherehe ya kujipongeza kuanza kaz wait and see by de way thank you
  12. F

    JINSI YA KUJUA KWAMBA UMEITWA KWENYE INTERVIEW AU LAA KWENYE AJIRA PORTAL

    Hv Kuna uwezekano wa kuwa disqualified ukiwa umekosea address kwa barua???
  13. F

    JINSI YA KUJUA KWAMBA UMEITWA KWENYE INTERVIEW AU LAA KWENYE AJIRA PORTAL

    Nimeomba ila ndio nimekosea application letter nimeandika adress ya TPA sasa sijui itakuaje
Back
Top Bottom