Recent content by Father Mkananayo

  1. Father Mkananayo

    JamiiForums Tanzania JWTZ mnakubali vipi kuwa mateka wa Mafwele?

    SAHIHI
  2. Father Mkananayo

    JamiiForums Tanzania Wanawake pindi mnapokuwa na miaka 17-25 kwanini huwa hamshauriki mkasikia?

    Hii niliwahi pia kukaa na binamu yangu namshauri Kwa kina mno Tena kama rafiki sidhani kama wiki ilipita kaka zake waka mkamata Msela hapo hapo nyumbani kumbe Huwa analeta Msela anafanya yake hapohapo nyumbani na jamaa ana familia kabisa
  3. Father Mkananayo

    JamiiForums Tanzania Wanawake pindi mnapokuwa na miaka 17-25 kwanini huwa hamshauriki mkasikia?

    Ndio sio wote lakini wengi wao wapo hivyo.
  4. Father Mkananayo

    JamiiForums Tanzania Wanawake pindi mnapokuwa na miaka 17-25 kwanini huwa hamshauriki mkasikia?

    Mkuu hongera sana Kwa Hilo. Lakini mwanangu Hadi afikie hatua ya kuniambia katongozwa na Fulani nankamuelewa kwangu ni hapana.
  5. Father Mkananayo

    JamiiForums Tanzania Wanawake pindi mnapokuwa na miaka 17-25 kwanini huwa hamshauriki mkasikia?

    Kuchoka hatuwezi maana wanatuhusu Moja Kwa Moja
  6. Father Mkananayo

    JamiiForums Tanzania Wanawake pindi mnapokuwa na miaka 17-25 kwanini huwa hamshauriki mkasikia?

    Issue Huwa ni mizigo Kwa familia mkuu
  7. Father Mkananayo

    JamiiForums Tanzania Wanawake pindi mnapokuwa na miaka 17-25 kwanini huwa hamshauriki mkasikia?

    Kweli wapo ila matokeo anayopata binti na Boy ni tofauti mbali sana
  8. Father Mkananayo

    JamiiForums Tanzania Wanawake pindi mnapokuwa na miaka 17-25 kwanini huwa hamshauriki mkasikia?

    Aisee alikuwa vizuri nanyi mlikuwa mnaisikia ya mzee wengine hata ufanyaje pia kipindi hicho maadili yalikuwepo bado
  9. Father Mkananayo

    JamiiForums Tanzania Wanawake pindi mnapokuwa na miaka 17-25 kwanini huwa hamshauriki mkasikia?

    Ahsantee sana hili litapita lakini Sasa hata sisi tunao Watoto wa kike wanaelekea huko ndo najiuliza sana nikwanini hawasikii hivi
Back
Top Bottom