Ishu
Ishu inakuwa hivi ninamkopo CRDB ila nikihamishia deni hilo CRDB watanikopesha 5MIL kwa hiyo nalipa deni la FANIKIWA nabakiwa na 3 mil.YAANI NITA RENEW MKOPO WA CRDB
Habari wadau na nduguzangu..
Mimi ni mtumishí wa umma, kuna kipindi nilikopa fedha kampuni ya FANIKIWA MICROFINANCE LTD kiasi cha Tsh. Milioni 2 ila mkopo huu ni wa riba kubwa.
Baada ya kumaliza shida iliyonikabili nikaomba CRDB wanilipie deni wakakubali lakini FANIKIWA wamekataa wanadai mpaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.