tatizo ni kadogo mno hata ukipishana na semi anaweza kukutoa nje ya road. mi na babywalker hata zitumie maji haya ya kunywa sitakuja kuvutika na upepo wake hata
niliwahi kuwa na subaru plain, haina turbo kila nilipokutana na watu wa crown na brevis nilikuwa nawapa overdrive nilikua nawapoteza hatari sana, sasa yenye turbo najua moto wake ni balaa zaidi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.