Recent content by Faraja yangu

  1. F

    Jeshi la Polisi wameanza kuita kwenye usaili?

    Ngoja wenye taarifa na hilo waje :A S wink:
  2. F

    Mhitimu wa chuo kikuu hawezi kuandika barua ya kazi

    Umesema vema kabisa tena hiyo division 4 point 27 unakuta aliingia na nondo au alisaidiwa majibu,yeye mwenyewe unakuta alikuwa na uwezo mdogo darasani sasa atamfundishaje mwanafunzi kuandika barua ya kikazi wakati yeye hajui.Na isitoshe wengine wanafeli form four wanaenda college kuchukua...
  3. F

    Nimewaona polisi na viroba zaidi ya 20 vya maombi ya kazi

    Mungu saidia maana hii nchi....hatareee
  4. F

    Jina lipo uhamiaji isipokuwa limekosewa herufi ya kwanza, msaada wenu

    Wadau mwenye gazeti la majina ya wakaguzi wasaidizi yale awali na nyongeza anisaidie kunichekia jina deograsia mbilinyi
  5. F

    Hatimaye Zimoto kimeeleweka

    Usijali kawaida tu,mafunzo sijajua muda gani ila unatakiwa uripoti chuo cha magereza ukonga dar tarehe 15/6/2014
  6. F

    Kuitwa kazini zimamoto na uokoaji

    Ambaye anahitaji kuangaliziwa jina lake aseme fasta mi nina gazeti lenye majina kibao hapa!
  7. F

    Hatimaye Zimoto kimeeleweka

    Frank mwalongo,frank severini mngul
  8. F

    Uhamiaji waongeza majina 58 wakaguzi wasaidizi,kulikoni?

    Asante mkuu tutaendelea kupambana hadi kieleweke
  9. F

    Uhamiaji waongeza majina 58 wakaguzi wasaidizi,kulikoni?

    Hii ndiyo nchi ya wenyewe na serikali tuliyoichagua wenyewe
  10. F

    Uhamiaji waongeza majina 58 wakaguzi wasaidizi,kulikoni?

    Tafadhali naomba unichekie tu jina la deograsia mbilinyi tafadhali huku niliko internet cafe hakuna na kwenye simu majina hayafunguki
  11. F

    Hatimae uhamiaji yametimia

    Jamani naombeni msaada wenu mwenye gazeti la mwananchi la jana aniangalizie jina DEOGRASIA MBILINYI nafasi ya konstebo,
  12. F

    Usaili Tanzania Postal Bank(TPB)

    NiPM kwa 0759246304,0657492998
  13. F

    Usaili Tanzania Postal Bank(TPB)

    Asanteni ndugu zangu kwa kunitia moyo Mungu awabariki sana
  14. F

    Usaili Tanzania Postal Bank(TPB)

    Asante ndugu yangu
  15. F

    Usaili Tanzania Postal Bank(TPB)

    Habari wana JF,TPB walitoa tangazo la kazi kwa nafasi za freelancers na team leaders,nilituma maombi kwa e-mail lakini ilifail,lakini leo wamenitumia sms tano mfululizo za aina moja wakinihitaji kwenye usaili keshokutwa,pia wametoa namba zao kwa shida yoyote.Je,watakuwa kweli ni wao au watapeli...
Back
Top Bottom