Aaaah sawa natumaini nitaizoea tuu kidogo kidogo hii app nisisumbue watu naomba unisaidie kitu kama hutojali naomba unitag katika stori ya utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nimuamini shetani sehemu ya 21 mpaka ilipoishia hapo itakuwa umenisaidia zaid
Kwani hii story ya utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nimuamini shetani imeenda mpaka ngapi mana mi nmejarbu kutafta nmekuta mwisho 20 lakini nikifatilia komenti wengine naona wamefka 27 ko happy kati zingine naztafta sizipati Mimi nimeshasoma hadi 20
Duuh asee hujanielewa sijui mkuu yani n hivi Mimi sijawah kutumia jf ko sijui naipataje hyo hadithi ktk mtiririko nafikiri jf iko tofaut na mitandao mingine nimejarbu kuingia ktk akaunt ya umughaka nakutana na koment tuu na baadhi ya vipande unaweza kukuta mara 20 alf 27 ko haina mtiririko mzuri...
Kaka hebu naomba nisaidie nawezaje kupata muendelezo wa hii story Mimi nmesoma kidogo tuu ko nataka niipate kuanzia mwanzo niisome lakin mm mgen humu cjajua kutumia vze jf naomba nisaidie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.