Recent content by Falco

  1. Falco

    Mungu alisema Binadamu hawezi kumuona na akaishi ili hali Musa aliongea nae uso kwa uso je nani mkweli?

    Walizungumza na Mungu akiwa katika umbo la kibinadamu-manifestation of God in human form(Theophany) au Mungu akiwa katika si utukufu wake wote, sehemu ndogo tu ya utukufu wake ndio ulioonekana.
  2. Falco

    Kuna baadhi ya binadamu huwa wanamzungumzia Shetani kana kwamba wanawazungumzia baba zao vizee

    Mungu huwaongeza nguvu wanadamu katika ulimwengu wa roho. Hivyo, wapo wanadamu wenye nguvu kuliko shetani ila pengine hawajui jinsi ya kuzitumia.
  3. Falco

    Kama kweli novena na albadili vinanguvu kwanini visitumike kuitoa ccm kwenye madaraka,kuondoa mafisadi,nk?

    Maombi-Imani-Matendo, ukiamini ulichoomba unaenda kuitoa sa CCM, uliyemuomba ataitoa CCM kupitia wewe. Aliyeombwa ni spiritual being.
  4. Falco

    Nahisi mzazi wangu anafanya ushirikina

    Haumkwepi mchawi kwa kukaa naye mbali, popote uendapo anaweza kukupiga juju, unahitaji kinga.
  5. Falco

    Rafiki yangu anasumbuliwa na jini mahaba. Je, ni namna gani ya kumtoa?

    Ameoa ktk ulimwengu wa roho tayari,anapofanya mapenzi ndotoni anafanya mapenzi na jini,ambaye ni mke wake halali(spiritual wife). Kushindwa kufanya mapenzi na mke wake wa mwili,ni wivu wa jini mahaba,mwanaume asiweze ku-sex na mwanamke yeyote wa mwili ila a-sex na jini huyo tu. Anatakiwa...
Back
Top Bottom