Mm nipo dar kigmbn mtaji ninao nimepanga kufungu duka la jumla la kuuza sigara tu aina zote sasa mwenye uelewa kuhusu sehemu ya kwenda kununulia kama ni kiwandani au kuna wakala nahitaji kujua utaratibu wa sehemu ya kupata mzigo kwa jumla na mm nitakua nauza jumla na leja leja . Nawasilisha...
Habar wana jamv mm nihitaji kuanza biashara ya kuuza sigara kwa JUMLA na rejareja sasa naomba mnifahamishe anayejua hizo bidhaa za sigara kwa JUMLA huwa zinapatikana wapi kwa dar na utaratibu wake ukoje mm nataka niwe mzigo ninunulie kiwandani ila sielewi taratibu zao na sehemu zinazopatikana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.