Recent content by Fahad Abdallah

  1. Fahad Abdallah

    Mwanza: watoto waliotekwa wapatikana, watekaji wauawa kwa kupigwa risasi

    Mtu unajiita Savage, ningeshangaa sana kama ungetoa hoja yenye mashiko.Bado zamu yako.Tena wewe ukikamatwa wakumiminie risasi za mat***k kabisa.
  2. Fahad Abdallah

    Samaki wa urembo wanaondoa stress ona hapa

    Msosi wao ni upi? au hawali?
  3. Fahad Abdallah

    Full time: Simba SC 1 - 0 Bravos do Maquis FC | CAF CC | Benjamin Mkapa Stadium | 27-11-2024

    Upo vizuri.Au kuna posho huku alafu hatuambiani?
  4. Fahad Abdallah

    FT: Al Ahly Tripoli 0-0 Simba SC | CAF Confederation Cup | Tripoli International Stadium | 15/09/2024

    Mkuu nisaidie link nyingine kama utakuwa nayo.Hii naona inanipeleka kwenye ads kila ninapofungua
  5. Fahad Abdallah

    MSAADA: Mtoto wa miaka minne anachemka sana kwa siku tatu mfululizo. Hospitali alipimwa malaria, hana

    Nimeuzingatia ushauri wako.Wametumia BS amekutwa na malaria 7.Ahsanteni sana.
  6. Fahad Abdallah

    MSAADA: Mtoto wa miaka minne anachemka sana kwa siku tatu mfululizo. Hospitali alipimwa malaria, hana

    MREJESHO:Kutokana na ushauri wenu,nilimpeleka mtoto hospitali tofauti na ile ya mwanzo.Wametumia BS badala ya MRDT test.Amekutwa na malaria 7.Ameshaanza dozi ya ALU.Nawashukuru sana. Mungu awabariki sana.
  7. Fahad Abdallah

    MSAADA: Mtoto wa miaka minne anachemka sana kwa siku tatu mfululizo. Hospitali alipimwa malaria, hana

    Nipo Mwanza mkuu.Nilimpeleka zahanati.Ila kwa sasa nipo njiani naenda nae sekou_toure
Back
Top Bottom