Recent content by Fadhili_Chande

  1. F

    Umewahi kujiuliza nini tofauti ya Bei, Thamani na Gharama za Mali?

    Je, unatambua kuwa kuna aina kuu mbili za mali? Kuna mali isiyohamishiķa na mali inayohamishika. Ungependa kujua maana ya dhana ya Bei, thamani au gharama kama zinavyohusishwa na mali? Kwa Mfano, umejenga nyumba kwa milioni ishirini, ukaiuza kwa milioni hamsini lakini nyumba yako ungekuwa wewe...
  2. F

    SoC04 TAKUKURU inawezaje kufuatilia matumizi ya fedha za miradi ya maendeleo ili kuzuia ubadhirifu na udanganyifu?

    Utangulizi Kufuatilia matumizi ya fedha za miradi ya serikali ni muhimu ili kuhakikisha uwazi, uwajibikaji, na matumizi sahihi ya rasilimali za umma. TAKUKURU jama taasisi inayosimamia kuzuia na kupambana na Rushwa nchini Tanzania ina wajibu mkubwa wa kuhakikisha kuwa fedha za miradi ya...
Back
Top Bottom