Recent content by fact only

  1. fact only

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hii tabia ya wenza kupost vijembe WhatsApp status mnapotofautiana sio nzuri

    😀😀 Bado mnapendana.
  2. fact only

    JamiiForums Tanzania Wakuu naomba Tupeane uzoefu ulifanyaje, ulijinasuaje, ulimchomoka vipi au ulishinda vipi kesi Polisi/Mahakamani?

    Pamoja mkuu issue ilikuwa kukaa ndani ndiyo shida.
  3. fact only

    JamiiForums Tanzania Wakuu naomba Tupeane uzoefu ulifanyaje, ulijinasuaje, ulimchomoka vipi au ulishinda vipi kesi Polisi/Mahakamani?

    😀😀 nani fundi mkuu? mjini wapigaji wengi kuliko warogaji.
  4. fact only

    JamiiForums Tanzania Wakuu naomba Tupeane uzoefu ulifanyaje, ulijinasuaje, ulimchomoka vipi au ulishinda vipi kesi Polisi/Mahakamani?

    Sawa mkuu nimekuelewa kuanzia mwanzo nilifanya kama ulivyo nieleza.
  5. fact only

    JamiiForums Tanzania Wakuu naomba Tupeane uzoefu ulifanyaje, ulijinasuaje, ulimchomoka vipi au ulishinda vipi kesi Polisi/Mahakamani?

    Nilipata dhamana Mkuu pia tumeambiwa turudi siku iliyo pangwa.
  6. fact only

    JamiiForums Tanzania Wakuu naomba Tupeane uzoefu ulifanyaje, ulijinasuaje, ulimchomoka vipi au ulishinda vipi kesi Polisi/Mahakamani?

    Thanks for your concern Mkuu. Kesi kama zangu zipo nyingi pia mahakama hapa mjini zipo nyingi so hata kama wapo humu sioni tatizo.
  7. fact only

    JamiiForums Tanzania Wakuu naomba Tupeane uzoefu ulifanyaje, ulijinasuaje, ulimchomoka vipi au ulishinda vipi kesi Polisi/Mahakamani?

    Nimekufatilia kidogo nimekutambua Mkuu nitakupigia.
  8. fact only

    JamiiForums Tanzania Wakuu naomba Tupeane uzoefu ulifanyaje, ulijinasuaje, ulimchomoka vipi au ulishinda vipi kesi Polisi/Mahakamani?

    Hakika mkuu pesa ndiyo kila kitu, pia nimejifunza akiba ni muhimu sana.
  9. fact only

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ilikuwaje siku uliyofumania/ uliyofumaniwa?

    😀😀 ikawaje Mzee? Uliung'ata pia au ulisebenza?
Back
Top Bottom