Recent content by fact only

  1. fact only

    JamiiForums Tanzania Kulipa kodi kubwa sio sifa

    Mkuu kukumbushana sio kupangiana. Ila kama unakisukari kama chako utaona unapangiwa.
  2. fact only

    JamiiForums Tanzania Kulipa kodi kubwa sio sifa

    Kama vibanda vipo hainashida mkuu. Kuliko kukosa kabisa.
  3. fact only

    JamiiForums Tanzania Kulipa kodi kubwa sio sifa

    Aina hii ya vijana ndiyo mnaotakiwa kwenye jamii. Safi sana mkuu endelea kujitambua hivyo hivyo. Wengine waache waendelee kudemka .
  4. fact only

    JamiiForums Tanzania Walimu wapunguza siku za kufanya kazi hadi 3 kisa mishahara kuwa midogo

    Kasheshe.
  5. fact only

    JamiiForums Tanzania Kulipa kodi kubwa sio sifa

    😀 Waswahili watakupost na mitandaoni kwamba una njaa njaa. Hivyo hivyo kwenye kujenga aibu utaipata ukiwa mtu mzima mwenye familia alafu bado unakimbizana na mama wenye nyumba. Waswahili watakuonesha.
  6. fact only

    JamiiForums Tanzania Kulipa kodi kubwa sio sifa

    Of course Mkuu hakuna tuzo naendelea kufanya maisha yangu.
  7. fact only

    JamiiForums Tanzania Kulipa kodi kubwa sio sifa

    Mkuu itakuwa tu namna inavyotakiwa kuwa.
  8. fact only

    JamiiForums Tanzania Kulipa kodi kubwa sio sifa

    Mkuu asiye na ndoto za kujenga na asijenge, nothing is new like you sayed. Hata kuweka hiyo akiba 20% uliyoisema itaonekana sio kila mtu ndoto zake.
  9. fact only

    JamiiForums Tanzania Kulipa kodi kubwa sio sifa

    Mkuu ni hatari sana siku hizi kukumbushana maendeleo imekuwa ni kupangiana .
  10. fact only

    JamiiForums Tanzania Kulipa kodi kubwa sio sifa

    😀😀
  11. fact only

    JamiiForums Tanzania Kulipa kodi kubwa sio sifa

    Hakika sio unafika muda wakulipa kodi unaanza kukopa kuongezea ongezea.
  12. fact only

    JamiiForums Tanzania Kulipa kodi kubwa sio sifa

    Shukrani mkuu . Hili pia ndiyo lengo la uzi huu sema wewe umenisaidia kuelezea kiundani zaidi.
  13. fact only

    JamiiForums Tanzania Kulipa kodi kubwa sio sifa

    😀😀 tunataka vijana waendelee kuishi kwenye majumba yetu tuendelee kupiga pesa.
  14. fact only

    JamiiForums Tanzania Kulipa kodi kubwa sio sifa

    Safi sasa imagine wazazi wako wangekaza shingo kama hawa vijana humu ndani wanao kaza shingo hivi leo ingekuwaje. Kujenga ni muhimu kwenye maisha yako na vizazi vyako vijavyo.
  15. fact only

    JamiiForums Tanzania Kulipa kodi kubwa sio sifa

    Mkuu hivi sasa waache washambulie tu. Na wao sio muda mrefu huko mbeleni watakuja kushambuliwa na Dunia.
Back
Top Bottom