Recent content by fact only

  1. fact only

    Wazoefu wa Biashara naombeni wazo la biashara

    Mkuu nina mpango wakuingia Zambia pesa yao nzuri sana lazima niingie Lusaka naendelea kukusanya information.
  2. fact only

    Wazoefu wa Biashara naombeni wazo la biashara

    Hakika Mkuu inatakiwa kufikiri tofauti sio kimazoea mazoea. Pia naona Kuna uhaba mkubwa wa sisi vijana/Watanzania kupeana information muhimu kama hizi. Information/ ideas nyingi tunazo peana kila siku ni zilezile mfano(Nunua bajaji, uza chakula, tafuta odd 2.5, nunua pikipiki, kuuza dagaa n.k)...
  3. fact only

    Wazoefu wa Biashara naombeni wazo la biashara

    Anhaa sawa Mkuu nimekupata.
  4. fact only

    Wazoefu wa Biashara naombeni wazo la biashara

    Biashara gani Mkuu tunaandika nondo?
  5. fact only

    Wazoefu wa Biashara naombeni wazo la biashara

    Hakika Mkuu ukiipatia biashara, faida unapata tena faida kubwa sana.
  6. fact only

    Wazoefu wa Biashara naombeni wazo la biashara

    Kapige mishe Zambia Kwa huo mtaji utaingiza hadi 2ml za Kitanzania.
  7. fact only

    Mali hutengeneza mali; Hakuna cha miujiza, mafuta ya upako, bahati, nyota, kibali, visomo, uganga, majini wala meditation

    Miujiza, mafuta ya upako, bahati, nyota, kibali, visomo, uganga, majini n.k VINAWEZA kukutengenezea Mali/pesa/utajiri Kwa kuwafanya watu fursa.
  8. fact only

    Inasemekana watu wengi wenye hii alama kwenye sikio wana hatma ya kuwa matajiri

    Nyanda za juu kusini watu wengi wanavyo hivyo vishimo. (Iringa, Mbeya, Njombe, Ruvuma n.k).
  9. fact only

    Picha za Ikulu, Mitandao, na Maadili: Ni nani aliyevunja kanuni?

    😁 Unataka kusemaje Mkuu?
  10. fact only

    Picha za Ikulu, Mitandao, na Maadili: Ni nani aliyevunja kanuni?

    Wamefanya habari iwe kubwa sana. Picha zote ni za kawaida sana PERHAPS hizo zero distance na hao anao piga nao picha.
  11. fact only

    Tuzogoe: Uliza swali la kizushi, tukujibu!

    Hesabu zangu zipo sawa tu sijataka kuweka exactly margin. Nina mengi ambayo yapo kichwani kwangu ninge kuona live ningekuulezea Kwa uzuri although najua haiwezekani na haitawezekana. However i like your perspective in our conversation umekomaa/umeiva uko good.
Back
Top Bottom