Recent content by fact only

  1. fact only

    JamiiForums Tanzania Mnaokula wake zetu na kutuona sisi wazembe, mna hakika nyie mtaweza?

    Hapana sijasema hawataweza ninewauliza wataweza. Unasema umetoka kwa baba na mama kufuata sex na mumeo anazingua wewe ndiyo unapata tiketi ya kulala hovyo na wanaume wengine. Sasa kwanini usimwambie mumeo ukweli ili akuache kabisa uende huko kwenye good sex uka_enjoy sex.
  2. fact only

    JamiiForums Tanzania Mnaokula wake zetu na kutuona sisi wazembe, mna hakika nyie mtaweza?

    Hapo sawa mkuu kama ukipata mwanamke mcha Mungu kweli kweli lazima muishi kwa upendo.
  3. fact only

    JamiiForums Tanzania Mnaokula wake zetu na kutuona sisi wazembe, mna hakika nyie mtaweza?

    😀 mkuu mbona unanikabia juu sana shida nini? We kama unakula wake za watu endelea kula tu.
  4. fact only

    JamiiForums Tanzania Mnaokula wake zetu na kutuona sisi wazembe, mna hakika nyie mtaweza?

    Unapenda sana sex Mkuu 😀. Sasa si uende moja kwa moja ukapate sex uwe huru maisha yako yote.
  5. fact only

    JamiiForums Tanzania Mnaokula wake zetu na kutuona sisi wazembe, mna hakika nyie mtaweza?

    Hongera mkuu wazee walikufunza ujasiri mkubwa sana.
  6. fact only

    JamiiForums Tanzania Mnaokula wake zetu na kutuona sisi wazembe, mna hakika nyie mtaweza?

    Naheshimu imani yako mkuu.
  7. fact only

    JamiiForums Tanzania Mnaokula wake zetu na kutuona sisi wazembe, mna hakika nyie mtaweza?

    Kama imani yako inakwambia hakuna magonjwa basi sawa mkuu baki na imani yako. Imani inaponya.
  8. fact only

    JamiiForums Tanzania Mnaokula wake zetu na kutuona sisi wazembe, mna hakika nyie mtaweza?

    😀😀 ndiyo mnavyo jipa moyo wa kimalaya mkuu?
  9. fact only

    JamiiForums Tanzania Mnaokula wake zetu na kutuona sisi wazembe, mna hakika nyie mtaweza?

    Mkuu angalia nawewe wakwako asije akaja kukunwa hapo baadae. Usipandishe kisukari akikunwa.
  10. fact only

    JamiiForums Tanzania Mnaokula wake zetu na kutuona sisi wazembe, mna hakika nyie mtaweza?

    Good huo ndiyo uanaume(unajitambua mkuu).
  11. fact only

    JamiiForums Tanzania Mnaokula wake zetu na kutuona sisi wazembe, mna hakika nyie mtaweza?

    Haya maneno utakuwa unayasema kama tayari uko na HIV na maradhi mengine. Ila kama kweli uko na afya yako nzuri kabisa na unajipenda hauwezi zungumza maneno kama haya.
  12. fact only

    JamiiForums Tanzania Mnaokula wake zetu na kutuona sisi wazembe, mna hakika nyie mtaweza?

    Sawa mkuu ila kumbuka na wewe lazima tukukanye.
  13. fact only

    JamiiForums Tanzania Binti mwenye miaka 16 amuua mama yake mzazi kisa kuzuiliwa kwenda kwenye birthday party

    Hapana sihitaji pongezi Mkuu ila nilikuwa najaribu kuelezea utofauti wenu waki_mtazamo.
  14. fact only

    JamiiForums Tanzania Binti mwenye miaka 16 amuua mama yake mzazi kisa kuzuiliwa kwenda kwenye birthday party

    Ujue hapa kuna utofauti wa uelewa. Mfano nyie mnao mpinga Robert mkiambiwa 2 + 2= 4. Mnajibu sawa. Lakini upande wa Robert yeye akiambiwa 2 + 2=4 lazima ahoji WHY iwe 4 so anaanza kuchimba why jibu ni 4. Hapo ndiyo utofauti wenu ulipo nyie taarifa ilivyo toka mmeipokea moja kwa moja kama...
  15. fact only

    JamiiForums Tanzania Binti mwenye miaka 16 amuua mama yake mzazi kisa kuzuiliwa kwenda kwenye birthday party

    Ujue hapa kuna utofauti wa uelewa. Mfano nyie mnao mpinga Robert mkiambiwa 2 + 2= 4. Mnajibu sawa. Lakini upande wa Robert yeye akiambiwa 2 + 2=4 lazima ahoji WHY iwe 4 so anaanza kuchimba why jibu ni 4. Hapo ndiyo utofauti wenu ulipo nyie taarifa ilivyo toka mmeipokea moja kwa moja kama...
Back
Top Bottom