Hapana sijasema hawataweza ninewauliza wataweza.
Unasema umetoka kwa baba na mama kufuata sex na mumeo anazingua wewe ndiyo unapata tiketi ya kulala hovyo na wanaume wengine.
Sasa kwanini usimwambie mumeo ukweli ili akuache kabisa uende huko kwenye good sex uka_enjoy sex.
Haya maneno utakuwa unayasema kama tayari uko na HIV na maradhi mengine.
Ila kama kweli uko na afya yako nzuri kabisa na unajipenda hauwezi zungumza maneno kama haya.
Ujue hapa kuna utofauti wa uelewa.
Mfano nyie mnao mpinga Robert mkiambiwa 2 + 2= 4. Mnajibu sawa.
Lakini upande wa Robert yeye akiambiwa 2 + 2=4 lazima ahoji WHY iwe 4 so anaanza kuchimba why jibu ni 4.
Hapo ndiyo utofauti wenu ulipo nyie taarifa ilivyo toka mmeipokea moja kwa moja kama...
Ujue hapa kuna utofauti wa uelewa.
Mfano nyie mnao mpinga Robert mkiambiwa 2 + 2= 4. Mnajibu sawa.
Lakini upande wa Robert yeye akiambiwa 2 + 2=4 lazima ahoji WHY iwe 4 so anaanza kuchimba why jibu ni 4.
Hapo ndiyo utofauti wenu ulipo nyie taarifa ilivyo toka mmeipokea moja kwa moja kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.