😀 Waswahili watakupost na mitandaoni kwamba una njaa njaa.
Hivyo hivyo kwenye kujenga aibu utaipata ukiwa mtu mzima mwenye familia alafu bado unakimbizana na mama wenye nyumba. Waswahili watakuonesha.
Safi sasa imagine wazazi wako wangekaza shingo kama hawa vijana humu ndani wanao kaza shingo hivi leo ingekuwaje.
Kujenga ni muhimu kwenye maisha yako na vizazi vyako vijavyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.