Habari, Nimemaliza kidato cha nne mwaka jana 2023 katika masomo ya biashara nilikuwa naomba ushauri Kati ya kwenda advance level education au chuo.
Nk. Ninamatamanio ya kusomea Uhasibu.
Asante.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.