Watanzania tumekuwa kama bendera fuata upepo,hatujipi muda wa kutafakari mambo kwa kina mbaya zaidi tumekuwa tukifurahia kusikia maneno tunayotaka sisi kusikia yawe ya kweli au yasiyo ya kweli tunafurahi
Hii miongozo huwa mnaisoma wapi? Wenzetu, Kuna watumishi wasio ruhusiwa kabisa kujihusisha na Siasa. Lakini kuna watumishi wanao ruhusiwa kujihusisha na Siasa nje ya masaa ya kazi, Walimu ni kundi la watumishi wanaoruhusiwa kufanya Siasa baada ya Muda wa kazi.Ndiyo maana walichofanya ni...
Wanajukwaa hiki cheo ni kizuri sana, kikubwa sana au kitamu sana hapa nchini kwetu?
Unajiuliza kinachotokea jijini Arusha mnyukano wa mkuu wa mkoa na Mbunge wa sasa unahusishwa na mbio za Ubunge.
Yaani mtu hataki kuongoza mkoa anataka majimbo ndani ya mkoa tu.Vile vile Mzee Masatu Wasira...
Mkuu kwa Maoni yangu Mungu ndiye last say, siku ya mwisho hakuna cha fedha, Majumba ya kifahari, Bunduki, Mizinga wala Mabomu au vifaru unabaki wewe na Mchanga. Sasa kwa nini tusikae na kukubaliana kwa utaratibu mzuri tu. Na sheria itumike pale panapokuwa na mtu anayevunja sheria na kuharibu...
Nimeamua kuuliza swali hili kwa wanajukwaa hili baada ya kufanya tafakari mbili .
Mosi nilimsikiliza Mkuu wa Majeshi mstaafu Venance Mabeyo akisema masaa machache kabla ya hayati Dr.Pombe Magufuli kupumzika kwa amani siku hiyo asubuhi aliomba aitiwe baba Paroko wake Kama sikosei anaitwa...
Mtoa post una hoja japo kuna mtu anapinga.Ukuwa Muongo usiwe msahaurifu,Amesahau Askofu niwemugizi alitishiwa kupokonywa Urai wake kwa kumkosoa Magufuli.Na mRC wasivyo na kinyongo misa ya Mazishi ya Magufuli ni yeye aliyeongoza hiyo ibada.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.