Breaking news:- Basi la kampuni ya Mbaazi linalofanya safari za Moshi Dar limeacha njia na kupinduka eneo la mwanga mkoani kilimanjaro leo tarehe 13/11/2014. Inasemekana kuna abiria wamepoteza maisha na wengine kujeruhiwa. Tutawaletea habari kamili na picha. Endelea kutembelea Wahangaza Blog
Repture man@ nichek kwa namba hizi 0766378713 unitumie jina la huyo mtu wenu tuone kama tutapata taarifa. Mi ni blogger wa www.wahangaza.blogspot.com nipo kahama na nimefika eneo la tukio bt kwa sasa naelekea ngara ila nitajaribu kufatilia.
Breaking news:- Basi la wibonela
linalofanya safari zake kahama Dar
limeua watu zaidi ya watano na
kujeruhi wengi leo asubuhi eneo la
fantom kahama. Chanzo ni
mwendo kasi uliomshinda dereva
wa basi hilo kukata kona la
kuingia barabara kuu hivyo kuruka
nje na kusababisha basi hilo
kupinduka.
Wanajamii jeshi halijapiga mtu zaidi ya vijana kukamatwa na sio wa chadema kama alipost habari anavyodai . amelipaka matope jeshi ni bora arudi afute kauli
Zaidi habari hii ingekuwa sahihi endapo ingetolewa kwamba mabomba yamekatwa na watu kupigwa lkn sio kuhusisha vyama vya siasa. Ni kweli bomba zimekatwa na vijana ila sio chadema wa ccm haijurikani ni chama gani. Uchochezi haufai tutoe habari kama zilivyo
Mimi ni mwandishi wa blog maarufu ya wahangaza blog ya wilayani ngara nimefatilia habari hii baada ya kuiona humu maana nipo ngara kwa sasa tena kwa kutumia reporter wangu aliyepo mrusagamba majibu ni kwamba habari hii sio ya kweli ns hakuna kitu kama hicho kilichotendeka wilayani ngara. Naomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.