Sawa,wakili msomi na mawakili wenzenu wasomi...mkiangukia pua kelele kama zote,,,mbwembwe nyingi ujuaji mwingi mwisho inakua hivi...labda kesi hii muipeleke MIGA
mimi nimeoa 2013.mke wangu na mama yangu wanapendana sana,kiasi kwamba huwa nawaza siku nikipishana na mke wangu mama anaweza ata kunipa laana..mama hajawahi kunilalamikia chochote kuhusu mke wangu,wala mke wangu hajawahi kunilalamikia lolote kuhusu mama...
jana nimesafiri na jamaa mmoja mchuuzi wa kuku,anafurahia sana kuwa na kitambulisho.anasema kuwa hapo kabla walikuwa wakidaiwa elfu tano kwa kila tenga la kuku,sasa kwa mwaka mzima ilikuwa hela nyingi sana..kwaiyo kwa vitambulisho hivi wakiwa navyo hawadaiwi chochote...
aliyekuwa diwani wa kata ya chikola wilayani manyoni Mh. EZEKIEL MATALALI hapo jana tarehe 15/9/2018 amejiunga ccm na kupokelewa na mwenyekiti wa ccm wilaya bwana JUMANNE ISMAIL MAKHANDA.
Aidha pamoja naye walipokelewa wanachama wengine 42 wa chadema wakiwemo wenyeviti wa vitongoji na wajumbe wa...
Shikamoo muheshimiwa raisi kama unasoma mitandao. Pole na majukumu ya kulijenga taifa...mimi ni kijana wa miaka 28 mkazi wa
Wilaya ya manyoni,kata ya nkonko.elimu yangu ni kidato cha nne tuu na elimu pia ya ufundi.
Na pia ni mwanachama wa chadema.
Kwakuwa naamini kuwa wewe unapenda maendeleo,na...
uchaguzi huu umegubikwa na ubabe,hila na dhuruma za wazi dhidi ya chama chetu.kama mtakosa Tena plani ya kuja nayo katika hili hakika Sasa tutapoteza matumaini.tunaamini chama chetu kilishaga Hama kwenye stage ya kulalamika.mnaposhindwa kuchukua hatua mnazidi kuwapa nguvu ccm na vibaraka wao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.