Recent content by Ezekiel Kamwaga

  1. E

    Bila Tanganyika (Tanzania|) yetu, sisi ni nani?

    Na Ezekiel Kamwaga KWA mujibu wa wanasayansi, dunia yetu ina umri wa takribani miaka bilioni nne na nusu. Katika miaka hiyo, nchi iitwayo Tanganyika imedumu kwa muda wa takribani karne moja tu – katika hiyo, angalau miaka 61 kama taifa huru. Kwa vyovyote vile, kama taifa, Tanganyika ni mtoto...
  2. E

    Bila Mercy, huenda tusingekuwa na bilionea Mengi

    Aisee Pasko Ahsante sana kwa
  3. E

    Bila Mercy, huenda tusingekuwa na bilionea Mengi

    Sote tunajifunza kila siku mkuu. Ahsante
  4. E

    Bila Mercy, huenda tusingekuwa na bilionea Mengi

    Mercy Mengi na kadhia ya wenza wa matajiri Na Ezekiel Kamwaga KUNA msemo mmoja mashuhuri wa wahenga wetu kwamba kwenye mafanikio ya mwanamume, kuna mwanamke pembeni yake. Kama kuna mahali msemo huu umesadifu ukweli huu, basi ni kuhusu maisha ya aliyekuwa pengine bilionea maarufu zaidi nchini...
Back
Top Bottom