Recent content by Exaud Minja

  1. E

    Star Times wanatukera wateja wao tunaitumia Antena

    Wateja tunaotumia antenna Morogoro mbona mnapatikana kwa Bahati na kupotea
  2. E

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Kama Mimi nimenunua Luku tokea tarehe 23/09/2022 kupitia NMB Mobile hadi leo sijapata na hela wamekata.
  3. E

    Tanesco Morogoro mnakera sana kwa kutowaunganishia wateja wenu umeme kwa wakati

    Surveyor alipita haraka haraka bila kuangalia vizuri na kujiridhisha. Aliyemkuta hakumuonyesha na nyumba nyingine ya nyuma ambayo ita share umeme na hapo penye chumba master, sebule na jiko.
  4. E

    Tanesco Morogoro mnakera sana kwa kutowaunganishia wateja wenu umeme kwa wakati

    Mimi pia niliomba kuunganishiwa umeme online sijapata control number nikalipie hadi sasa. Surveyor alishapima na ilioneka wire mita 3 unatosha kuunganisha. Pamoja na kwamba niko tayari kulipia 320,000/= bei ya sasa. Kabla ya hapo october mwaka jana 2021 nilishaomba umeme wa nyumba hii hii kwa...
  5. E

    Surveyor wa Tanesco Morogoro sijamuelewa

    Surveyor ndio aliyedai hawezi kupata umeme sababu nyumba ni ndogo
  6. E

    Surveyor wa Tanesco Morogoro sijamuelewa

    Kwenye kuomba umeme hakuna sehemu inayouliza kama ni nyumba, frem, store, machine wala chochote, ndio maana surveyor alipita.
  7. E

    Surveyor wa Tanesco Morogoro sijamuelewa

    Mbona wanaunganisha umeme kwenye frem hata 20 kwenye nyumba Moja na kila Moja na Mita yake?
  8. E

    Surveyor wa Tanesco Morogoro sijamuelewa

    Ndugu Mteja Ombi lako la kuunganishiwa umeme limepokelewa, Namba ya ombi U140622-27801 limewasilishwa ofisi ya TANESCO. Tutawasiliana na wewe kwaajili ya kukamilisha baadhi ya taarifa.
  9. E

    Surveyor wa Tanesco Morogoro sijamuelewa

    Ndugu Mteja Ombi lako la kuunganishiwa umeme limepokelewa, Namba ya ombi U140622-27801 limewasilishwa ofisi ya TANESCO. Tutawasiliana na wewe kwaajili ya kukamilisha baadhi ya taarifa.
  10. E

    Surveyor wa Tanesco Morogoro sijamuelewa

    Nimefanikiwa kujenga Apartment chumba, sebule na jiko, self contained nikaomba kuunganishiwa umeme online na contractor akaingiza mchoro online, surveyor kaja kukagua akasema apartment yangu ni ndogo siwezi kupata umeme. Sasa nashindwa kuelewa apartment kuwa ndogo ndio kukosa sifa ya kupata line...
  11. E

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Kuna SMS nilitumiwa zaidi ya mwaka Na nusu sasa inaendelea kuingia kila siku Na kila nikiwasha Simu 0742536457 inakuwa usumbufu
Back
Top Bottom