Sawa nmekuelewaa,mfano Mimi huwa naota kwamba kuna vita kubwa afu Mimi napambna thn napaa angan Yani kama ndege vile afu hii ndoto ni mara Kwa mara naota kama sio kila siku,je nini ishara ya hii ndoto?
Mkuu maneno yako ya mwisho nimeyapenda,huyo bwana nmemwambia asije akaja hapa kuomba msaada atakapolizwa Kwan tumefanana Kwa mawazo big up wanaume tunaojitambua kama Mimi na wewe
Mkuu Mimi sion tatizo kuandika jina la mtoto,ila trust me kuwa utakuja kulia nakuomba ushaur hapa pindi utakapolizwa na mkeo Kwa kudanganywa eti ukakope pesa benk ili mkajenge kweny kiwanja chakee et kachoka kupanga,zinduka kidumee unadanganywa Mzee utashindwa kulipa bure uende Kwa pilato uachee...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.