Recent content by Ewong'on

  1. E

    Kaimu DEO na Mtaaluma Simanjiro mnaua elimu

    huna lolote we ni boya kama maboya wengine. You dont know the real situation thats why you are talking such nonsense. Siwezi nikafanya mambo ya kijinga kama huu uongozi hapa, mzee hasikii wala haelekezeki, uongozi na wasaidizi wake ni wanafiki, wanakalia viti kwa maslai yao wenyewe. Kama wewe...
  2. E

    Kaimu DEO na Mtaaluma Simanjiro mnaua elimu

    Chum Kane we ndo aina ya headmaster na kimweri wake hapo. Watu tunataka mabadiliko ili taaluma ipande we unaleta utani na maneno ya kipumbavu.
  3. E

    Kaimu DEO na Mtaaluma Simanjiro mnaua elimu

    Ndugu wamisako tatizo ni mkuu wetu wa shule anaendesha shule vibaya. Anatumia fedha za shule kwa manufaa yake na hatuambii walim mapato na matumizi. Ameweka wanawake ktk nafasi za juu ili aweze kuwaburuza maana wanawake wenyewe wanakuwa watii kwake mfano academic na kaimu makamu mkuu wa shule...
  4. E

    Kaimu DEO na Mtaaluma Simanjiro mnaua elimu

    ndo hivyo bro, wakuu wa shule ni miungu watu hawashauriki na mbaya zaidi DEO anawalinda. Shule yangu ipo ukanda wa Mererani pia.
  5. E

    Kaimu DEO na Mtaaluma Simanjiro mnaua elimu

    itabidi iwe hivyo maana inakera sana.
  6. E

    Kaimu DEO na Mtaaluma Simanjiro mnaua elimu

    Kaimu DEO idara ya sekondari na mtaaluma wanachangia sana kuangusha kiwango cha elimu hapa wilayani na hasa hapa shuleni kwetu Ewong'on. Sisi waalim wa Ewong'on sekondari tulipeleka malalamiko yetu kwa DEO na Mtaaluma kuhusu uendeshaji mbovu wa shule yetu lakini hakuna hatua thabiti...
  7. E

    Hapa wapi wakuu

    Panaitwa Kisangara, ni kama mpaka wa mwanga na moshi.
Back
Top Bottom